Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Nimeomba evidence na pia kama unafahamu hati ya dharura?Bila shaka, muulize Zitto alivyopelekwa India kipindi kile cha Kikwete ambapo system zilikua loose sio kama sasa hivi zilivyo tight, na bado atakuambia kwamba alipitia mlolongo huo huo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama kila mtu ataamua kwenda nje kadri apendavyo nchi hii itakuwaje?, Magufuli alomwagiza waziri wa afya, infact miongoni mwa ufanisi wa utendaji wa kazi atakazopimwa waziri wa afya Ummy mwalimu ni kupunguza wagonjwa kwenda kutibiwa nje, ndiyo maana unaona uwekezaji mkubwa sana katika sector ya tiba hapa nchini, nenda Ocean road cancer institute ujionee, the biggest and of its kind, nenda Muhimbilii ujionee ilivyobadilika.Unaweza kutupa kwamba
Speaker Ndungai anavyoenda India hupewa vibali kwanza Muhimbili? Na huwa katika hali gani? Na hati za dharura zipo ama hazipo? Kumbuka Magogoni kuna mtu alizuia washiriki wa maafa ya tetemeko la Kagera wasipewe misaada iliyotolewa na watu na taasisi binafsi.
Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
Evidence kama kitu gani katika hili, huwezi kuvipata kwenye website zaidi ya kwenda Muhimbili kuonyeshwa faili lake, ninadhani wewe ambaye unadhani kuna sheria na taratibu zimekiukwa ndiye unapaswa kulithibitisha hilo, kwa sababu wewe ndiye unayetoa tuhumaNimeomba evidence na pia kama unafahamu hati ya dharura?
Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
Labda nikupe ushahidi wa kimazingira tu, baada ya speaker wa bunge kueleza kwanini bunge na serikali haitogharimia matibabu ya Lisu huko Nairobi, wabunge wa upinzani walikuwepo akiwemo Zitto Kabwe, ingekuwa alichosema speaker ni uongo au kuna alternative, pale mjengoni pangechimbika, ninadhani unamjua vizuri ZittoNimeomba evidence na pia kama unafahamu hati ya dharura?
Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
Kwahiyo evidence hiyo inazuia hati ya dharura? Ni mara ngapi Wabunge wamesafirishwa kwa hati ya dharula?Evidence kama kitu gani katika hili, huwezi kuvipata kwenye website zaidi ya kwenda Muhimbili kuonyeshwa faili lake, ninadhani wewe ambaye unadhani kuna sheria na taratibu zimekiukwa ndiye unapaswa kulithibitisha hilo, kwa sababu wewe ndiye unayetoa tuhuma
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulaaniwe kabisa unataka afanye nini amekuwa mkusanyaji wa kodi zakoTundu ana ushujaa gani? Tokea lini mtu akawa shujaa kwa kuropoka na kusumbua wanaume wengine? Angekuwa shujaa kama angefanya hata jambo moja la maana jimboni mwake.
Kama Tundu ni shujaa basi ndio maana Afrika ni masikini, kuropoka tu unakuwa shujaa. Kama asipofunga mdomo wake mchafu ajiandae kupotea kabisa, alichopata ni onyo tu.
Wewe ndiyo unieleze hiyo hati ya dharura kwenye tiba ni kitu gani, mimi nimefanya kazi katika sector ya afya, sijawahi kusikia wala kuiona, ndiyo kwanza ninaisikia kwako, hebu elezea umma tuweze kujifunza kitu kipya hiki kinachuitwa hati ya dharura katika uwanja wa afyaKwahiyo evidence hiyo inazuia hati ya dharura? Ni mara ngapi Wabunge wamesafirishwa kwa hati ya dharula?
Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
Why you hate the president?Magufuli I Hate U, Tena Urudishe Na Kura Nliyokupa
Mioyo ya namna hii wanayo watu wachache, na kazi za namna hii pia hufanywa na watu wachache wenye hiyo mioyo!Huyu jamaa anapitia magumu, mara anapimwa mkojo, mara anakamatwa kamatwa, mara anapigwa marisasi... Dah inabidi uwe na moyo wa simba ili maisha ya huyu, maana mimi hata kwa mabilioni siwezi, haya mambo ya kupambana yana wenyewe.
Nilipambana enzi za rais Moi, lakini mabomu ya machozi yalinitosha, huyu bwana Lissu haachi hata akilimwa vipi.
Hongera sana Lissu, ushujaa wako utaandikwa kwenye vitabu vya historia za Afrika. Watu wa kihivi ni wachache na huja na kutuaga duniani, lakini michango yao inabaki ikisomwa na vizazi baada ya vizazi.
Hujawah kuona uko kwenu kenya mnapewa misaada hata ya kompyuta?inamaana nyie hamuwezi kuzinunua?rais na wabunge wenu hawana fungu la matibabu?kwnn liwepo wakati wanaweza kujitibu kwa gharama zaoAstaghfirullah.
Muqtasari wote huu wa nini!!!? Mimi nimeuliza tu!! Huenda gharama pale Agha Khan ipo juu?? Sijaona hata siku moja, hata MCA Kenya akaomba msaada waaina hiyo hata kama anaenda matibabu India au USA au UK.
Mfano Anyang Nyongo, Alienda London matibabu akalazwa miezi sikusikia mchango.
Governor wa Bomet Isaac Rutto alienda Matibabu Africa Kusini, sikuona mchango. Na wengi wengine.
Kuuliza maana hapo Agha Khan, sidhani kama atatumia milioni zaidi ya tatu pesa za Kenya, ongeza milioni mbili za usafari na matumizi. Yaani kama imezidi sana, milioni sita pesa za kenya (milioni mia moja pesa za Tanzania) Hivi hawezi hizo yeye kama mbunge tena rais wa chama cha wanasheria kule Tanzani?
Wabunge Bongo hulipwa hela ngapi kwa mwezi?
Ulaaniwe kabisa unataka afanye nini amekuwa mkusanyaji wa kodi zako
Na nini ccm imefanya miaka yote mbn hujisomi
Sent using Jamii Forums mobile app
Waliofuta Nyayo wala hawakupata shida sasa wewe ulikuwa hutaki kufuata tu NyayoHuyu jamaa anapitia magumu, mara anapimwa mkojo, mara anakamatwa kamatwa, mara anapigwa marisasi... Dah inabidi uwe na moyo wa simba ili maisha ya huyu, maana mimi hata kwa mabilioni siwezi, haya mambo ya kupambana yana wenyewe.
Nilipambana enzi za rais Moi, lakini mabomu ya machozi yalinitosha, huyu bwana Lissu haachi hata akilimwa vipi.
Hongera sana Lissu, ushujaa wako utaandikwa kwenye vitabu vya historia za Afrika. Watu wa kihivi ni wachache na huja na kutuaga duniani, lakini michango yao inabaki ikisomwa na vizazi baada ya vizazi.
Hapa umepapitia lakini? 2017 World Press Freedom Index | Reporters Without Bordersduh kumbe ni huyu Lissu ndiye alitoa habari za kushikwa kwa ndege ya Tanzania kule Canada? sasa walimkamata kwa sababu ya hiyo? lol! is their any freedom of speech in TZ? hapa kenya hata unaweza ukasema rais ni muuaji na hata utaje jina la mtu mmoja aliyeuawa na rais ila hakuna atakaye jishugulisha nawe...
for example this guy Boniface accused the deputy presidnt of murder and said that he also wants to kill him but he has never been arrested even once...infact, he even ran for MP but lost to Jaguar...
Boniface Mwangi: "William Ruto wants me dead like he killed Jacob Juma" Mwangi claims
Duh watu wanatoka povu huku hadi kwa mat* ko
nchi yetu bhana yaani mtu kupigania haki za wanyonge ndio kuropoka!!! hivi lisu nani asiejua mchango wake mkubwa bungeni mpaka ssa hata makinda alikiri kipindi anaondoka kwamba lisu alisaidia sana kwenye kuchambua miswada bungeni je kuchambua miswada haileti maendeleo kwa taifa zimaTundu ana ushujaa gani? Tokea lini mtu akawa shujaa kwa kuropoka na kusumbua wanaume wengine? Angekuwa shujaa kama angefanya hata jambo moja la maana jimboni mwake.
Kama Tundu ni shujaa basi ndio maana Afrika ni masikini, kuropoka tu unakuwa shujaa. Kama asipofunga mdomo wake mchafu ajiandae kupotea kabisa, alichopata ni onyo tu.
nchi yetu bhana yaani mtu kupigania haki za wanyonge ndio kuropoka!!! hivi lisu nani asiejua mchango wake mkubwa bungeni mpaka ssa hata makinda alikiri kipindi anaondoka kwamba lisu alisaidia sana kwenye kuchambua miswada bungeni je kuchambua miswada haileti maendeleo kwa taifa zima
mfano lisu alionyesha udhaifu wa muswada wa gesi hadi akatimuliwa leo hii magu naye kasema kweli kuwa muswada wa gesi na mafuta una madhaifu hivyo urudiwe kufayiwa marekebisho!!! je huoni kusaidia kuzuia miswada ya kifisadi kma huo hastahili kuitwa shujaa
2. lisu amepambaa dhidi ya mikataba mibovu be it ya gesi almasi au dhahabu na ameshalala sana jela hta kufikia kukimbia nchi mwaka 2001 kisa kutishiwa kuuawa kwa kupambana na mafisadi alafu miaka 16 imepita ndio maccm yanashtuka kuwa tuliibiwa kwenye dhahabu je lisu sio shujaa bado
Kutetea katiba mpya na kumwaga nondo kuliko wabunge wote mule hadi leo hii katiba ya ccm imeshindwa kupitishwa maana ikipigiwa kura hawawezi jibu hoja zile alizoibua lisu bungeni je bado hawi shujaa kutetea katiba ya wananchi
hivi katika awamu hii nani ambaye anaweza kukosoa wazi utawala wa magu?? kuwa muwazi nani ana huo ubavu zaidi ya lisu??? ntajie hata mmoja tu
Hahahahaha this is funny indeed so u mean by lisu agitating for better ammendments it has no impact on the common mwananchi???Those are personal achievements
When we talk about achievements there are also negative.
When you talk about best professionalism, how do we got ( best)
Best, comes from the society not group of people .
Example. The best politican from opposition side is Zito Kabwe.
The best comes from his society, a lot of changes, a lot of ammendments and we can see them.
I call some one best cook by the way he mentions recepies, ingredients ,only that. But he use to eat in hotels
Sent using Jamii Forums mobile app
ndio maana nmesema hyo miswada anayoichambuaga kwa uwezo mkubwa bungeni ikipita haina faida kwa mwananchi wa kawaida???Tundu huyu huyu aliyemtukana Edward Ngoyai halafu leo anamuita kamanda? Ni mropokaji ambaye hajaifanyia nchi lolote la kukumbuka. Huwezi kuwa shujaa kwa kuropoka bali kwa kufanya vitu vya kusaidia wananchi.
Taja hata mradi mmoja wa maana alioufanya Singida Mashariki. Hizo blah blah za katiba na upuuzi mwingine hazifanyi mtu awe shujaa, kila mtu asiye na akili timamu anaweza kuropoka kama Tundu.
Watu wamechanga tu hata bila kujali. Mtu hana hatia risasi 38, jamaa yangu mwogope Mungu. Do the best God will do the rest.Lakini kwani hii Agha Khan inalipisha pesa ngapi hadi hivi michango kufanywa huko Tanzania kwa matibabu yake? Ama ni CHADEMA hawana pesa kabisa??? Lakuhuzunisha hili!
View attachment 585399