Tetesi: Tanzanite yetu ndo inampa Jeuri Kagame kuifadhili Arsenal? Wazungu nao wamemjia juu Kagame

Tetesi: Tanzanite yetu ndo inampa Jeuri Kagame kuifadhili Arsenal? Wazungu nao wamemjia juu Kagame

Kagame kawashika sehemu mbaya sana sana vijana wa ufipa

Kagame anacho kiangalia ni kutengeneza profit na si majungu ya wapuuzi wachache
 
Unajua ukiangalia Sera za China hawafungamani na watu wowote. Wamewekeza karibu kila nchi duniani.

Hawajihusishi na mambo ya ndani ya nchi. Wanawekeza kwa kwa marafiki na maadui, wapo USA, Russia, Japan, Sudan, Kenya, South Africa, Tanzania.

Sisi kama Tanzania tumeisaidia sana China kuliko nchi yoyote Africa, lakini wamewekeza zaidi South Africa na Angola kuliko Tanzania. Muhimu sasa hivi tusaidie watu wetu na nchi yetu.

Labda Somalia, DRC wanahitaji mtu kama Kagame to bring stability, law, order and good environment for doing business and bring investment.
 
Kuwaza kama wazungu kila wakati na kwa kila jambo kisa tu wao ni wazungu ni tatizo la upungufu wa madini fulani kichwani mwa mtu mweusi.

Kagame kafanya nini baya ama hatakiwi kufanya biashara? wazungu wanadanganya eti Kagame anasaidia, Kagame anasaidia ama anaizungusha pesa ili izae? acheni kuwa mnawakalili wazungu hadi kuwalamba matako, ni lazima sisi watanzania tukubali hapo mshikaji katuacha na kafikilia mbali sana

Usiwaze mambo ya Afrika huku ukiwa umevaa miwani ya wazungu
 
So we unaamini Tanzanite inachotwa na Wanyarwanda sio?
Is there anything impossible when the smartest person comes across a lifetime all-knowing b.ogus so-called president?
 
There is a lot of talk katika mji wa Mirerani kuhusu uchimbaji na biashara ya madini ya Tanzanite sasa kudhibitiwa na Rwanda, na ukikaa kwenye sehemu za starehe utasikia kila kitu, hata usiyopenda kusikia...na mahali fulani nilikaa na mashabiki flan wa Arsenal wanatamba kwamba nchi maskini ya Rwanda wana uwezo wa kuifadhili Arsenal, moja ya klabu za soka Tajiri kabisa duniani, kwa sababu tayari wanadhibiti sehemu kubwa ya biashara ya madini hapa TZ, na hasa TANZANITE, na ndiyo walidemand Mirerani pajengwe Ukuta kuzunguka eneo lote panapofanyika Uchimbaji....HAYA SI MANENO MADOGO!

Wakati huo huo Waingereza pamoja na wanaharakati Wanyarwanda wanaoishi Uhamishoni nao wanamnyoosha Kagame, how come nchi maskini ambayo hupokea msaada wa pauni mil.62, pesa za walipa kodi maskini wa Uingereza, itumie pauni mil.30 kuwafadhili Arsenal, moja ya Klabu Tajiri kabisa duniani? Wanataka Uingereza isitishe msaada wake kwa Rwanda, na Arsenal ijitoe kupokea pesa hizo!
View attachment 788288
kama ana uwezo akaifazili yanga
 
Kuwaza kama wazungu kila wakati na kwa kila jambo kisa tu wao ni wazungu ni tatizo la upungufu wa madini fulani kichwani mwa mtu mweusi.

Kagame kafanya nini baya ama hatakiwi kufanya biashara? wazungu wanadanganya eti Kagame anasaidia, Kagame anasaidia ama anaizungusha pesa ili izae? acheni kuwa mnawakalili wazungu hadi kuwalamba matako, ni lazima sisi watanzania tukubali hapo mshikaji katuacha na kafikilia mbali sana

Usiwaze mambo ya Afrika huku ukiwa umevaa miwani ya wazungu
Utaitwa mchochezi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lisemwalo lipo, kunakitu hakiko sawa kwenye uhusiano wetu na Rwanda. Ni matumaini yangu vyombo vya usalama (MI, TISS) hawataacha jiwe lolote juu ya jiwe lingine.


Hao ndio wana uwezo wa kumzuia Rais akiamua jambo fulani? How?
 
Waingereza nao uchoyo unawasumbua, serikali yao inakusanya mamia ya mabilioni ya pauni ya mapato ya kodi kila mwaka ndio wawasimbulie wanyaRwanda kisa msaada wa pauni milioni 62 kwa mwaka! Huu ni uchoyo wa kiwango cha kishetani!
 
Kwahiyo siyo Kenya tena inayofaidi Tanzanite bali ni Rwanda

Itakuwa waliobanwa mbavu na Ukuta cut yao imekua ndogo, wanachafua ilimradi kila mtu akose.

Magufuli was Right to build the wall.
Ohhh really. Are you sure what you are saying.

Just 7k per day makes you the gratest ignorant of all??

Come on dude!
 
Kagame ndo mmiliki wa tanzanite mererani Hilo halina ubishi....utajiri wa kagame kwa Sasa ni $ million 500 kwa mujibu wa Forbes....Sasa nchi Rwanda ilivyo maskini hivyo hizo pesa katoa wapi Kama si mwizi wa madini na misitu ya anaowaua DRC Sasa kahamia EA.....ngoja tuone picha linavyoendelea...
 
Kwahiyo siyo Kenya tena inayofaidi Tanzanite bali ni Rwanda

Itakuwa waliobanwa mbavu na Ukuta cut yao imekua ndogo, wanachafua ilimradi kila mtu akose.

Magufuli was Right to build the wall.
Ndo kama vile
 
Kagame ndo mmiliki wa tanzanite mererani Hilo halina ubishi....utajiri wa kagame kwa Sasa ni $ million 500 kwa mujibu wa Forbes....Sasa nchi Rwanda ilivyo maskini hivyo hizo pesa katoa wapi Kama si mwizi wa madini na misitu ya anaowaua DRC Sasa kahamia EA.....ngoja tuone picha linavyoendelea...
Mkuu ungekuwa unaleta angalau ushahidi fulani. Ina maana umiliki huo kapewa kimya kimya bila dokumaa zozote? au wale wanasejshi waliojenga ukuta walitokea rwanda?
 
Unajua ukiangalia Sera za China hawafungamani na watu wowote. Wamewekeza karibu kila nchi duniani.

Hawajihusishi na mambo ya ndani ya nchi. Wanawekeza kwa kwa marafiki na maadui, wapo USA, Russia, Japan, Sudan, Kenya, South Africa, Tanzania.

.

Ur wrong labda kwako definition ya kuingilia mambo ya ndani ni pale Chama tawala kinapo guswa.
China hawa hawa ni marafiki wakubwa wa vyama tawala karibu kote wanako invest naamini wewe wajua., je huko sio kuingilia? au wakiwa marafiki wa oposition ndio unaona wanaangilia?
 
Kwanini watu msiojua mambo mnapenda kupotosha wengine?
Ukiitwa mbele ya kamati ya ulinzi na usalama wa taifa unaweza kuthibisha huu Uzi wako?

Mengine ni mambo yasiyo na mjadala wa kupotoshana, hili ni suala la kiusalama na diplomasia jichunge sana braza.
 
Back
Top Bottom