That's your point of view, but to some of us, he's a real hero!Is there anything impossible when the smartest person comes across a lifetime all-knowing b.ogus so-called president?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
That's your point of view, but to some of us, he's a real hero!Is there anything impossible when the smartest person comes across a lifetime all-knowing b.ogus so-called president?
Wait for the downfall you never imagined.....That's your point of view, but to some of us, he's a real hero!
Which downfall? Am doing just fine! Am not among the league of idiots who complains everyday and night about the administration cz they want the easy way! Well, i prefer the hard way, it sharpens my "state of mind"! Good lucky with the waiting!! Pure nonsensical. As of me am waiting for the upcoming of Jesus! Cz its so real!Wait for the downfall you never imagined.....
Kweli kabisa. Rais wangu ninamuamini. Hata yeye personally akiamua kufanya hivyo hataweza kutokana na mfumo wenyewe wa Tanzania ulivyo.Hakuna kitu mzee, watu wazushi tu hili ni taifa kubwa lenye vyombo imara vya ulinzi na udhibiti.
Rais Magufuli hawezi kuwa hivyo mnavyodhani.
There is a lot of talk katika mji wa Mirerani kuhusu uchimbaji na biashara ya madini ya Tanzanite sasa kudhibitiwa na Rwanda, na ukikaa kwenye sehemu za starehe utasikia kila kitu, hata usiyopenda kusikia...na mahali fulani nilikaa na mashabiki flan wa Arsenal wanatamba kwamba nchi maskini ya Rwanda wana uwezo wa kuifadhili Arsenal, moja ya klabu za soka Tajiri kabisa duniani, kwa sababu tayari wanadhibiti sehemu kubwa ya biashara ya madini hapa TZ, na hasa TANZANITE, na ndiyo walidemand Mirerani pajengwe Ukuta kuzunguka eneo lote panapofanyika Uchimbaji....HAYA SI MANENO MADOGO!
Wakati huo huo Waingereza pamoja na wanaharakati Wanyarwanda wanaoishi Uhamishoni nao wanamnyoosha Kagame, how come nchi maskini ambayo hupokea msaada wa pauni mil.62, pesa za walipa kodi maskini wa Uingereza, itumie pauni mil.30 kuwafadhili Arsenal, moja ya Klabu Tajiri kabisa duniani? Wanataka Uingereza isitishe msaada wake kwa Rwanda, na Arsenal ijitoe kupokea pesa hizo!
View attachment 788288
Kagame ndo mmiliki wa tanzanite mererani Hilo halina ubishi....utajiri wa kagame kwa Sasa ni $ million 500 kwa mujibu wa Forbes....Sasa nchi Rwanda ilivyo maskini hivyo hizo pesa katoa wapi Kama si mwizi wa madini na misitu ya anaowaua DRC Sasa kahamia EA.....ngoja tuone picha linavyoendelea...
Mkuu,, sijaamini bado kama na wew una msupport kagame ,iko hiviLeo hii ukiwa unajiita kabisa Great Thinker wa JF halafu ukawa unawashangaa na unaungana na Wazungu wachache katika Kumsema vibaya Rais Kagame na Kupinga maamuzi yake ya Kuidhamini nchi yake ya Rwanda kupitia Klabu ya Arsenal nitashindwa kukutofautisha na Wapumbavu wachache fulani fulani.
Hakuna asiyejua kuwa Wazungu hasa Uingereza wana chuki ya chini chini na Rais Kagame hasa baada ya Kagame kila mara akionekana akiwasema / akiwananga Wazungu kwa Kuwanyonya na kuwasababishia umasikini na maumivu ya Kiuchumi Waafrika.
Ni uimara wa Rais Kagame katika kuyasimamia yale anayoyaamini na kutopenda ' manyanyaso ' ya Wazungu ambao walikuwa wakidhani watampanda Kichwani Kagame ili wazidi kuendeleza kile ambacho walikuwa wakikiendeleza pale tulipokuwa ' Makoloni ' yao.
Logically tu ni kwamba nia ya Rais Kagame kuamua Kuidhamini nchi yake kupitia Klabu Kubwa kama ya Arsenal ni jambo jema sana hasa ukizingatia kwamba sasa hivi nchini Rwanda kumezinduliwa Mbuga nyingine mpya za Wanyama Kenda / Tisa tena zenye Wanyama ' vivutio ' kabisa kwa Watalii hivyo basi ujio wa Watalii wengi nchini Rwanda kutasaidia kuiongezea pato nchi ya Rwanda ambayo Hela hiyo sasa itatumika katika kuboresha huduma mbalimbali na muhimu za Kijamii na hata kuzidi Kuijenga Rwanda katika mifumo yake ya Miundombinu.
Mwisho labda kwa taarifa yako tu na kwa Kukusaidia hakuna Kiongozi yoyote wa Afrika ambaye anaonekana ni ' madhubuti ' katika kuwapigania Waafrika na Rasilimali zao akaonekana ni Mtu mwema kwa Wazungu ambao siku zote wanapenda Kutunyonya na Kutukandamiza Waafrika na Waafrika baadhi walivyo Wapumbavu badala ya Kusikitika sasa nao wanageuka kuwa sehemu ya ' Critics ' wachache kwa Viongozi ' mashujaa ' wa Afrika.
Rais Paul Kagame yupo sahihi kwa 100% kwa maamuzi yake dhidi ya Udhamini wa nchi yake kupitia Klabu ya Arsenal.
Kila la kheri.
Waambie hao. Hawana ushahidi hata chembe.Kwanini watu msiojua mambo mnapenda kupotosha wengine?
Ukiitwa mbele ya kamati ya ulinzi na usalama wa taifa unaweza kuthibisha huu Uzi wako?
Mengine ni mambo yasiyo na mjadala wa kupotoshana, hili ni suala la kiusalama na diplomasia jichunge sana braza.
ukiacha bra bra kumbe Tanzania tunakua kwa kasi kwe tourism kweli numbers dont lie Magu akawekeze kwe manchester bana tupate wageni wengi toka mashariki mwa mbalikagame uzuri wake anafanya mambi kisomi na anafuata ushahuri namaini hii sio bahati mbaya na atafanikiwa.
soma hapa: Numbers dont lies
https://www.wttc.org/-/media/files/reports/economic-impact-research/countries-2018/rwanda2018.pdf
Mkuu,, sijaamini bado kama na wew una msupport kagame ,iko hivi
Kagame ame sponsor hiyo team kwa ajili ya kinachodaiwa ni kitangaza utalii kwa pesa yote hiyo ,hivi hizo ni akili kweli ? Kwanini asitangaze utalii kwa njia ya tv ? Kuna channels kama national geographic na wana magazines zao kwanini asiwatumie hao which is very cheap kuliko ku sponsor arsenal ? .mimi naona huyu member yuko sahihi
Kagame kafanya upuuzi kuna njia nyingi za publicity ila sio hiyo
Ngoja nikupe hoja nyingine, hivi kati ya sisi tanzania na rwanda wapi wana vivutio vingi vya utaliii ? Jibu ni Tanzania ,sasa kama sisi na kua na kila kivutio cha utalii na bado tuna watalii wachache ,rwanda watalii waongezeke kwenda kuangalia nini ?
Hoja nyingine
Sisi tanzania watalii wanaongezeka kila siku mbona kikwete hakwenda ku sponse team yoyote nje au JPM
Mkuu,hukufaa kuunga mkono akili za kagame wewe kama great thinker
HILI NALO NENO,Kagame is Dikteta, amefanya vibaya kwenye mambo fulani huko DRC na hapo Rwanda lakini anafanya mambo ya maana kwa nchi yake.
Siyo mjinga kabisa. Kama siyo yeye nchi yake leo labda ingekuwa kama Syria, DRC au Somalia. Inabidi kujifunza kuona hasi na chanya kwenye kila mtu na kila situations.
kiukweli watapata bonge la coverage tena dunia nzima, TZ tukifanya hivi tutatangaza vivutio vyetu haraka zaidi, tutafute global brand na global coverage tuvutie watalii zaidiThe Arsenal shirt is seen 35 million times a day around the world and we are one of the most viewed teams around the world. We look forward to working with the Visit Rwanda team to further establish the country as a tourist destination.”
Ukileta ushahidi humu mkuu kesho unaanzishiwa msako na wasiojulikana...usiombe kagame ukagusa maslahi yake popote ulipo duniani lazima ziraili akupate akunyofoe kiroho chako Cha ngama....Mkuu ungekuwa unaleta angalau ushahidi fulani. Ina maana umiliki huo kapewa kimya kimya bila dokumaa zozote? au wale wanasejshi waliojenga ukuta walitokea rwanda?