Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
Hivi Magu atakuwa mjinga kiasi hicho
Si wanasema huko ndio kwao.. Je kama anajenga nyumbani?Hivi Magu atakuwa mjinga kiasi hicho
Is there anything impossible when the smartest person comes across a lifetime all-knowing b.ogus so-called president?So we unaamini Tanzanite inachotwa na Wanyarwanda sio?
kama ana uwezo akaifazili yangaThere is a lot of talk katika mji wa Mirerani kuhusu uchimbaji na biashara ya madini ya Tanzanite sasa kudhibitiwa na Rwanda, na ukikaa kwenye sehemu za starehe utasikia kila kitu, hata usiyopenda kusikia...na mahali fulani nilikaa na mashabiki flan wa Arsenal wanatamba kwamba nchi maskini ya Rwanda wana uwezo wa kuifadhili Arsenal, moja ya klabu za soka Tajiri kabisa duniani, kwa sababu tayari wanadhibiti sehemu kubwa ya biashara ya madini hapa TZ, na hasa TANZANITE, na ndiyo walidemand Mirerani pajengwe Ukuta kuzunguka eneo lote panapofanyika Uchimbaji....HAYA SI MANENO MADOGO!
Wakati huo huo Waingereza pamoja na wanaharakati Wanyarwanda wanaoishi Uhamishoni nao wanamnyoosha Kagame, how come nchi maskini ambayo hupokea msaada wa pauni mil.62, pesa za walipa kodi maskini wa Uingereza, itumie pauni mil.30 kuwafadhili Arsenal, moja ya Klabu Tajiri kabisa duniani? Wanataka Uingereza isitishe msaada wake kwa Rwanda, na Arsenal ijitoe kupokea pesa hizo!
View attachment 788288
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa hio anawekeza kwao sio????Si wanasema huko ndio kwao.. Je kama anajenga nyumbani?
Utaitwa mchochezi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuwaza kama wazungu kila wakati na kwa kila jambo kisa tu wao ni wazungu ni tatizo la upungufu wa madini fulani kichwani mwa mtu mweusi.
Kagame kafanya nini baya ama hatakiwi kufanya biashara? wazungu wanadanganya eti Kagame anasaidia, Kagame anasaidia ama anaizungusha pesa ili izae? acheni kuwa mnawakalili wazungu hadi kuwalamba matako, ni lazima sisi watanzania tukubali hapo mshikaji katuacha na kafikilia mbali sana
Usiwaze mambo ya Afrika huku ukiwa umevaa miwani ya wazungu
Lisemwalo lipo, kunakitu hakiko sawa kwenye uhusiano wetu na Rwanda. Ni matumaini yangu vyombo vya usalama (MI, TISS) hawataacha jiwe lolote juu ya jiwe lingine.
Ohhh really. Are you sure what you are saying.Kwahiyo siyo Kenya tena inayofaidi Tanzanite bali ni Rwanda
Itakuwa waliobanwa mbavu na Ukuta cut yao imekua ndogo, wanachafua ilimradi kila mtu akose.
Magufuli was Right to build the wall.
Ndo kama vileKwahiyo siyo Kenya tena inayofaidi Tanzanite bali ni Rwanda
Itakuwa waliobanwa mbavu na Ukuta cut yao imekua ndogo, wanachafua ilimradi kila mtu akose.
Magufuli was Right to build the wall.
Mkuu ungekuwa unaleta angalau ushahidi fulani. Ina maana umiliki huo kapewa kimya kimya bila dokumaa zozote? au wale wanasejshi waliojenga ukuta walitokea rwanda?Kagame ndo mmiliki wa tanzanite mererani Hilo halina ubishi....utajiri wa kagame kwa Sasa ni $ million 500 kwa mujibu wa Forbes....Sasa nchi Rwanda ilivyo maskini hivyo hizo pesa katoa wapi Kama si mwizi wa madini na misitu ya anaowaua DRC Sasa kahamia EA.....ngoja tuone picha linavyoendelea...
Unajua ukiangalia Sera za China hawafungamani na watu wowote. Wamewekeza karibu kila nchi duniani.
Hawajihusishi na mambo ya ndani ya nchi. Wanawekeza kwa kwa marafiki na maadui, wapo USA, Russia, Japan, Sudan, Kenya, South Africa, Tanzania.
.
Hakuna kitu mzee, watu wazushi tu hili ni taifa kubwa lenye vyombo imara vya ulinzi na udhibiti.MI na TISS nawaamini ninyi mjue ohooo!
Nalog off