Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli huyo Marehemu hakuwahi cheza Simba, aliecheza ni huyo Seleman Ndikumana. Maana huyu marehemu kumpenda Irene Uwoya alimuonea kwenye movie ya Oprah, yeye akiwa anacheza mpira Cyprus.Hawakuwahi kuonana kabla ya hapo jamaa alingizwa king na movie tu.Ha ha mkuu haujaona alama ya kuuliza?usinichonganishe nikaitwa popoma usiku huu
Ha ha kwa hiyo alikua anatulisha matango pori hizo story za Leaders?Ni kweli huyo Marehemu hakuwahi cheza Simba, aliecheza ni huyo Seleman Ndikumana. Maana huyu marehemu kumpenda Irene Uwoya alimuonea kwenye movie ya Oprah, yeye akiwa anacheza mpira Cyprus.Hawakuwahi kuonana kabla ya hapo jamaa alingizwa king na movie tu.
1.Diamond ____ Ivan
2. Dogo Janja_____ ndikumana
3.
4.
5.
Mbona na huyo ben 10 wa zari nae alishakulaga huyo Uwoya?? Hatari hii sasa.Uwoya alitokaga na ababuu mwana Zanzibar..nae akafa kwa umeme....wasani hawa n shidaa
Ni kweli, uko sahihi ila tetesi zinarudi kuwa cardiac arrest na file la mwananyamala kuna kauhusiano.Kwani mkuu Katauti ameshawahi kucheza msimbazi?kumbukumbu yangu inakuja ya Selemani Ndikumana na sio Hamad huyu marehemu
Acha tu kamyumbisha kamtema kama big GUwoya ana dhambi jaman halafu yeye ndie aliyelazimisha ndoa. Jamaa alikua na hela zake za maana kafilisika kimasihara kabisa.
Kweli na ray alikula ndefu kweli cha udalali!Ni kweli huyo Marehemu hakuwahi cheza Simba, aliecheza ni huyo Seleman Ndikumana. Maana huyu marehemu kumpenda Irene Uwoya alimuonea kwenye movie ya Oprah, yeye akiwa anacheza mpira Cyprus.Hawakuwahi kuonana kabla ya hapo jamaa alingizwa king na movie tu.
Duh!Kipi bora sasa? michezo ama mazoezi au kukaa bila kuchosha misuli ya moyo?Wanamichezo wako vulnerable to cardiac arrest kwa sababu ya kudhoofika kwa misuli ya moyo kutokana na moyo kufanya kazi sana.. Mara nyingi heart attack au blood pressure ndo huendana na stress ingawaje ni nadra sana kwa Wanamichezo kufa kwa blood pressure/heart attack kwa sababu ya stress isipokuwa tu kuwe kuna tatizo la moyo limesabisha hivo
Habari ya kusikitisha, ni Kwamba wachezeaji wawili nchini Rwanda wamefariki Usiku wa kuamkia leo kila mmoja akiwa nyumbani kwake. Hategekimana Bonaventure aka Gangi na Mume wa zamani za Irene Uwoya, Ndikumana Hamad Katauti Wamefariki dunia. Ndikumana alikuwa kocha msaidizi wa timu ya soka ya Rayon Sports ambayo inaongoza kwa kuwa na mashabiki wengi nchini Rwanda.
Uongozi wa timu hiyo umesema jana Katauti alifanya mazoezi na wachezaji wake akiwa buheri wa afya. Mwili wake umekutwa nyumbani kwake mjini Kigali akiwa amefariki dunia. Haijajulikana kifo chake kimesababishwa na nini kwani hakuwa mgonjwa na wala hajafanya ajali. Mwili wake umepelekwa monchwari ya kiislamu ya dispensari ya Rwampala kwa maombi ya familia yake kwani miili ya waislamu haihifadhiwi katika monchwari za kawaida kwa mujibu wa imani zao.
Mungu ampe malazi mema peponi.
View attachment 631116 View attachment 631115View attachment 631125 View attachment 631124
Siku ya Harusi ya Irene Uwoya aka Oprah na Ndikumana Hamad ‘Katauti’
View attachment 631120 View attachment 631117
View attachment 631119
Huyu ni Mtoto wa Irene aliyezaa na Ndikumana, Krish Ndikumana
Ndikumana alizaliwa 10/05/1978.
ujumbe wake wa mwisho kwa irene
![]()
Ababuu ndiyoHee ngoma tena aiseee hatar.
Kweli na ray alikula ndefu kweli cha udalali!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] bongo muvi kwa masinemaa...hapana!!si kaolewa jamani[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Mungu niwekee niwaone walimwenguUmeona uwoya nae kaweka msiba wake sinza. Kama kawaida paparaz wa global wakaalikwa na picha wakapiga za kutosha
Ababuu ndiyo
Nimeshtuka shostiii
Mkuu ndio maana nikasema 'KWA KIASI FULANI'... Ulichokiongea hakina tofauti na nilichokisema mimiSi kweli hata kidogo rate ya kufa wanamichezo ni ndogo sana na ni matukio ya mara chache ukilinganisha na watu wasio wanamichezo. Huwezi sema michezo inaleta matatizo ya kiafya ila kinyume chake ni kweli. Tatizo kubwa huwa ni magonjwa ya moyo tena ni kwa wachache sana
[emoji1] [emoji1] [emoji1] bongo muvi kwa masinemaa...hapana!!si kaolewa jamani[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Mungu niwekee niwaone walimwengu
Irene hajatulia toka mtoto kapinda vibaya mnooBinti ana nyendo hatari sana. Yaan shule tu alikatisha baada ya kurubuniwa na jamaa wakatoroka ila passport ikamkwamisha uhamiaji huko nchi za watu hapa hapa africa
Irene hajatulia toka mtoto kapinda vibaya mnoo
Kuna siku nilikua kkoo pale shule ya Uhuru kabla hawabomoa "keep left'alikuja anaendesha bonge la pikipiki km ulaya vile halafu alikua mwendo kidogo akakata bonge konaaaa
Wamachinga walimshangiliaaa halafu akasimama akaondoka huyoooo!yule kapinda kuolewa tulishangaa mana km maskendo tuu anayo ila ndoa bahati