TANZIA: Aliyekuwa Mume wa Irene Uwoya, Ndikumana Hamad Katauti amefariki dunia

Ha ha mkuu haujaona alama ya kuuliza?usinichonganishe nikaitwa popoma usiku huu
Ni kweli huyo Marehemu hakuwahi cheza Simba, aliecheza ni huyo Seleman Ndikumana. Maana huyu marehemu kumpenda Irene Uwoya alimuonea kwenye movie ya Oprah, yeye akiwa anacheza mpira Cyprus.Hawakuwahi kuonana kabla ya hapo jamaa alingizwa king na movie tu.
 
Ha ha kwa hiyo alikua anatulisha matango pori hizo story za Leaders?
 
Kweli na ray alikula ndefu kweli cha udalali!
 
Huyu mtoto dogo janja ni kidume tena ana roho ya plastic kudaadeki...
 
Duh!Kipi bora sasa? michezo ama mazoezi au kukaa bila kuchosha misuli ya moyo?
 
Mkuu ndio maana nikasema 'KWA KIASI FULANI'... Ulichokiongea hakina tofauti na nilichokisema mimi
 
Binti ana nyendo hatari sana. Yaan shule tu alikatisha baada ya kurubuniwa na jamaa wakatoroka ila passport ikamkwamisha uhamiaji huko nchi za watu hapa hapa africa
Irene hajatulia toka mtoto kapinda vibaya mnoo

Kuna siku nilikua kkoo pale shule ya Uhuru kabla hawabomoa "keep left'alikuja anaendesha bonge la pikipiki km ulaya vile halafu alikua mwendo kidogo akakata bonge konaaaa

Wamachinga walimshangiliaaa halafu akasimama akaondoka huyoooo!yule kapinda kuolewa tulishangaa mana km maskendo tuu anayo ila ndoa bahati
 
Malezi ukiangalia kwao wapo wawili tu,yeye ndo wa kike pekee. Ana bahati msala wa lulu haukumuangukia yeye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…