Naona hili swala ni sensitive Mohamed Said,anachungulia tu na kupita maana hapa Magufuli anaweza kumpoteza mtu
Inna li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun
Salmar asante kwa taarifa hii. RIP Alhaj Aboud Jumbe.
Pasco
usiniambie amekodishwa na NEC ya zambia kama ilivyokodishwa yanga kwa maji??Jecha yupo zambia kikazi
Watamfanya kitu kibay hkousiniambie amekodishwa na NEC ya zambia kama ilivyokodishwa yanga kwa maji??
Dangadunguri,Karibu Mzee Mohamedi Saidi, twakusubiri utupe nondo za huyu shujaa, donoadonoa kidogo tupate kumsindikiza Babu yetu atokako ni kitalifa na endako ni kitalifa zaidi
Ni kiumbe kinachochukiwa na wapenda demokrasia duniani!Huyo alaaniwee kabisaa
Ova
Huyo inabidi afungwe jiwe lenye uzito wa ton mia na kumtupa nalo baharini au ziwaniNi kiumbe kinachochukiwa na wapenda demokrasia duniani!
inaakera==inakeraHii lugha yako inaakera sana ndugu!!!
Ngoja nione kama Maalim Seif ataenda kuhani huu msiba,kweli nitajua wanafiki hawana haya.
Kwenye mambo kama haya ya Mzee Jumbe, hapo huwa nakubaliana na wewe pamoja na mkuu Said Mohamed kuhusu UPUUZI wa Nyerere!
Frankly speaking sijawahi kumkubali Nyerere kabisa...alituharibia sana viongozi wengi mfano Kambona na huyu Jumbe. Edwin Mtei etc
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Jecha yupo zambia kikazi