Buyaka
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 1,705
- 1,953
Kauli gani na Mwenyekiti gani aliyeyasema hayo, Nyerere?kauli hii imo kwenyetuhuma dhidi ya Jumbe iliosemwa na Mwenyekiti
Nyerere alisema Jumbe alikuwa anaelekea kumshtaki International Court of Justice na alikuwa ameandaliwa makaratasi na Dourado na attorney General M-Ghana?
Mwenyekiti aliyasemea hayo wapi na lini?