TANZIA: Aliyewahi kuwa Rais wa pili wa Zanzibar, Mzee Aboud Jumbe afariki dunia

TANZIA: Aliyewahi kuwa Rais wa pili wa Zanzibar, Mzee Aboud Jumbe afariki dunia

Kweli mkuu unafiki kwa kwenda mbele, hata kumtembelea walikuwa hawaendi wakati ni hapo Kigamboni tu.

RIP mzee wetu mtakutana nao huko huko kwa hakimu wa Haki.

Quinine ebu tujuze hao watu ambao walikuwa hawamtembelei Marehemu Abdul Jumbe huko Kigamboni ili bidi wakutaarifu Wewe Au Wewe ndio ulikuwa mlinzi wake?
 
Quinine ebu tujuze hao watu ambao walikuwa hawamtembelei Marehemu Abdul Jumbe huko Kigamboni ili bidi wakutaarifu Wewe Au Wewe ndio ulikuwa mlinzi wake?
Mkuu
Hao watu walipokuwa wanawatembelea akina Bi Kidude (RIP) Ulimwengu mzima ulikuwa (Walikuwa wanaujuza) unajua Seuse kumtembelea Aboud Jumbe ???
 
Sio swal la kufanya alichokianzisha Jumbe.
Yeye ndo aliyekiuwa alichokianzisha Jumbe.
Huwezi fanya kile ulichomnyonga nacho mwenzio pasipo kutubu kwanza na kukiri makosa wazi wazi.
Huyu bwana Maalim ni wapi ulishamsikia akikiri kuwa ndiye aliyekwamisha mamlaka kamili Zanzibar?
Ni wapi alipoomba radhi?
Nijuze nipate kufahamu.

Pamoja na yote hayo, Jumbe nae alikuwa mnafiki kwenye Suala hili la Muungano,
Kwanza, Karume kabla ya Kifo chake, alishaona mapungufu makubwa ya Muungano huu na alianza kufikiria kutoka ndani ya muungano au kubadirisha mfumo wa Muungano,
baada ya Kifo chake (Karume), Abdul Jumbe akachukua Kijiti, lakini akaua kabisa hoja za Karume za kurudi kwenye serikali tatu au shirikisho,
Abdul jumbe alifikia mpaka hatua ya kukubali kuunganisha vyama ASP-TANU kuwa CCM, kwa makubaliano ya kutofuta dhana nzima ya Mapinduzi hivyo chama kipya kiwe na neno Mapinduzi, hiyo yote inaonyesha dalili kuwa Jumbe, hakuwa muhumini halisi wa serikali tatu,
kutokana na kuhuisha hoja za Karume zilizokuwa zinauquestion Muungano, Pamoja na kujenga nyumba yake bara (Kigamboni) Jumbe akakosa mvuto kwa wana Zanzibar na akaonekana si mwenzao, na ili kurudisha trust yake alibidi aanze kutafuta uungwaji mkono tena na alianza kampeni zake kupitia nyumba za ibada.

Kwa sasa Jumbe ataonekana ni muungwa na mtetea Muungano lakini kwa uhakika toka 1972-1984 hakuwa hivyo

Cc: Pasco , Malafyale
 
Pamoja na yote hayo, Jumbe nae alikuwa mnafiki kwenye Suala hili la Muungano,
Kwanza, Karume kabla ya Kifo chake, alishaona mapungufu makubwa ya Muungano huu na alianza kufikiria kutoka ndani ya muungano au kubadirisha mfumo wa Muungano,
baada ya Kifo chake (Karume), Abdul Jumbe akachukua Kijiti, lakini akaua kabisa hoja za Karume za kurudi kwenye serikali tatu au shirikisho,
Abdul jumbe alifikia mpaka hatua ya kukubali kuunganisha vyama ASP-TANU kuwa CCM, kwa makubaliano ya kutofuta dhana nzima ya Mapinduzi hivyo chama kipya kiwe na neno Mapinduzi, hiyo yote inaonyesha dalili kuwa Jumbe, hakuwa muhumini halisi wa serikali tatu,
kutokana na kuhuisha hoja za Karume zilizokuwa zinauquestion Muungano, Pamoja na kujenga nyumba yake bara (Kigamboni) Jumbe akakosa mvuto kwa wana Zanzibar na akaonekana si mwenzao, na ili kurudisha trust yake alibidi aanze kutafuta uungwaji mkono tena na alianza kampeni zake kupitia nyumba za ibada.

Kwa sasa Jumbe ataonekana ni muungwa na mtetea Muungano lakini kwa uhakika toka 1972-1984 hakuwa hivyo

Cc: Pasco , Malafyale
Nimechukia sana leo
Kuona akina Dr Shein wana najisi kabuli la Mzee Jumbe kwa kuligusa
Wana diriki hata kuweka udongo kumzika Mzee Jumbe
Watu ambao walikuwa wanakubaliana na Nyerere kum treat Jumbe kama MHAINI
Nimechukia sana
 
Mahakama ya Katiba ya Kimataifa iko wapi duniani?
Ni tatizo la kutafsiri nilikuwa na maana ya International court of justice. Samahani na kauli hii imo kwenyetuhuma dhidi ya Jumbe iliosemwa na Mwenyekiti
 
Nimechukia sana leo
Kuona akina Dr Shein wana najisi kabuli la Mzee Jumbe kwa kuligusa
Wana diriki hata kuweka udongo kumzika Mzee Jumbe
Watu ambao walikuwa wanakubaliana na Nyerere kum treat Jumbe kama MHAINI
Nimechukia sana

Shein amekuwa Raisi juzi tu kipindi ambacho Jumbe ni mzee kabisa sidhani kama angeweza kubadilisha adhabu ambayo alishaitumikia akiwa na nguvu, mnamlaumu bure Jumbe aliadhibiwa na Nyerere
 
Shein amekuwa Raisi juzi tu kipindi ambacho Jumbe ni mzee kabisa sidhani kama angeweza kubadilisha adhabu ambayo alishaitumikia akiwa na nguvu, mnamlaumu bure Jumbe aliadhibiwa na Nyerere
Dr Shein:
Alikuwa Waziri ZNZ
Alikuwa Makamu wa Rais wa TZ
Rais wa ZNZ
Kote huko no effort yyt aliwahi fanya kuhusu Mzee Jumbe!Hata kumtembelea sijawahi sikia alifanya hivyo
 
Jumbe hakuwahi kukanyaga tena Zanzibar wala kutoka Kigamboni.
Sio kweli

Jumbe alikuwa anakuja Zanzibar kila panapotokea haja. Kumbuka Jumbe alipoteza watoto wake watatu na mara zote alikuja mazikoni. Hata aliporejea India alifikia kwa mwanawe Mussa Mbuyu mnene mjini Zanzibar mpaka hali ilpotengmaa na kurudi Dar es salaam
 
Dr Shein:
Alikuwa Waziri ZNZ
Alikuwa Makamu wa Rais wa TZ
Rais wa ZNZ
Kote huko no effort yyt aliwahi fanya kuhusu Mzee Jumbe!Hata kumtembelea sijawahi sikia alifanya hivyo

Mbona hujawataja AbdulWakil,Salmin,Bilal,Karume,Maalim Seif ?

Unawajua wote waliokuwa wanaenda kumtembelea Mzee Jumbe ?

Jumbe aliadhibiwa na Nyerere Raisi wa Muungano so hakuna Rais wa Zanzibar aliyekuwa na ubavu wa kuingilio hilo suala.Na Jumbe aliamua kuachana na mambo ya siasa akajikita zaidi kumtumikia Mungu ndio maana pamoja na uzee na ugonjwa alikuwa anaalikwa kwenye hafla/makongamano ya kidini
 
Mbona hujawataja AbdulWakil,Salmin,Bilal,Karume,Maalim Seif ?

Unawajua wote waliokuwa wanaenda kumtembelea Mzee Jumbe ?

Jumbe aliadhibiwa na Nyerere Raisi wa Muungano so hakuna Rais wa Zanzibar aliyekuwa na ubavu wa kuingilio hilo suala.Na Jumbe aliamua kuachana na mambo ya siasa akajikita zaidi kumtumikia Mungu ndio maana pamoja na uzee na ugonjwa alikuwa anaalikwa kwenye hafla/makongamano ya kidini
Waandishi wa habari walikuwa hawaruhusiwi kugusa nyumba ya Mzee Jumbe hadi anafariki juzi

Usalama 24 hrs wanalinda nyumba kuhakikisha hatoki kizuizini hata Nyerere alipo fariki isipokuwa kwa shughuli maalum hasa matibabu na kuswali sometimes

Hapo ndipo nawalaumu hawa akina Shein!Waoga sana
 
Sio kweli

Jumbe alikuwa anakuja Zanzibar kila panapotokea haja. Kumbuka Jumbe alipoteza watoto wake watatu na mara zote alikuja mazikoni. Hata aliporejea India alifikia kwa mwanawe Mussa Mbuyu mnene mjini Zanzibar mpaka hali ilpotengmaa na kurudi Dar es salaam
Kutoka Mji Mwema kwa shughuli maalum na kibali kitoke Ikulu

Kama anaumwa au kafiwa aliruhusiwa kuondoka,miaka ya karibuni sometimes kuswali walimruhusu!

Waandishi wa habari walipanga wakamuhoji mwaka juzi Ikulu ikakataa!

Then leo nawaona akina Shein wanagusa kabuli lake kwa kulitia najisi,disgusting!

Kwake 24 hrs kuna Usalama wanalinda kuhakikisha mtu haiingii
 
M
Tatizo nililona kwako fikira zako zimekunyaa haziumkiki na kwa vile hata ukiambiwa chengine zaidi ya hayo kwako hayakuingii. Dunia ya sasa imebadilika watu wanahoji kisayansi hata uwepo wa dunia yenyewe na mungu. Sasa mtu kama wewe kipofu na macho yalipona ghafla mwanga na kunuona punda na upofu kurejea, basi kwako wewe chochote utakachoelezwa basi utaruka na kusema kama punda. Soma vitabu mbali mbali uijue dunia yako. Ukiyasoma ya kigiriki usiache na ya uturuki. Pia soma Adam in Islam, From Wikipedia, the free encyclopedia
mimi
Tatizo nililona kwako fikira zako zimekunyaa haziumkiki na kwa vile hata ukiambiwa chengine zaidi ya hayo kwako hayakuingii. Dunia ya sasa imebadilika watu wanahoji kisayansi hata uwepo wa dunia yenyewe na mungu. Sasa mtu kama wewe kipofu na macho yalipona ghafla mwanga na kunuona punda na upofu kurejea, basi kwako wewe chochote utakachoelezwa basi utaruka na kusema kama punda. Soma vitabu mbali mbali uijue dunia yako. Ukiyasoma ya kigiriki usiache na ya uturuki. Pia soma Adam in Islam, From Wikipedia, the free encyclopedia
Mh! badala ya kuuelezea uislam kihistoria na uambatanishe na facts zake angalau kuanzia mwaka 1A.D hadi 500A.D wewe unashia kusema eti Adam in Islam? jenga hoja; tukiwaambia lile jamaa liliwapiga chenga mnakuwa wakali matokeo yake ndo hayo ya kushindwa kuthibitisha uwepo wa dini yenu; ukweli ni kwamba uislam haukuwepo jamani kabla ya miaka 500 Muhamad ndo mwislam wa kwanza duniani akifuatiwa na mke wake,

Waefeso (Uturuki)waliaminishwa ile sanamu ya artemi mungu mke ilishuka kutoka mbinguni
na wala haikutengenezwa na mtu Matendo 19:17-22, leo watu wanaamishwa kiwa qur an ilishushwa kutoka mbinguni wakati ni kazi ya warabu watatu ndo walioiandika copy&paste kutoka Agano la Kale.
 
M

mimi

Mh! badala ya kuuelezea uislam kihistoria na uambatanishe na facts zake angalau kuanzia mwaka 1A.D hadi 500A.D wewe unashia kusema eti Adam in Islam? jenga hoja; tukiwaambia lile jamaa liliwapiga chenga mnakuwa wakali matokeo yake ndo hayo ya kushindwa kuthibitisha uwepo wa dini yenu; ukweli ni kwamba uislam haukuwepo jamani kabla ya miaka 500 Muhamad ndo mwislam wa kwanza duniani akifuatiwa na mke wake,

Waefeso (Uturuki)waliaminishwa ile sanamu ya artemi mungu mke ilishuka kutoka mbinguni
na wala haikutengenezwa na mtu Matendo 19:17-22, leo watu wanaamishwa kiwa qur an ilishushwa kutoka mbinguni wakati ni kazi ya warabu watatu ndo walioiandika copy&paste kutoka Agano la Kale.
Hakuna ulijualo... tafuta kwanza dini hulipo hapo wewe ni mshirikina..!
 
mungu mke ilishuka kutoka mbinguni
sasa wewe unataka niamini upumbavu kama huu wa sanamu mungu mke.Duh nilikuwa sijui bado karne hii, ndani ya Tanzania, tuna majitu fukara wa akili. Ni kweli sisi sote hatukuwepo siku hizo ni kilicho mbele yetu ni hadithi za alfulela ulela tu. Lakini mengine tupime

Nimekupa chimbuko la habari ya Adam kuwa ni muislamu na makala ya kusoma. Kukubali kukataa ni juu yako. Lakini usilete hadithi zisio na mkia ukafikiri watu wote ni debe tupu watazipokea tu. wafuate wajinga waliwao.
 
h
sasa wewe unataka niamini upumbavu kama huu wa sanamu mungu mke.Duh nilikuwa sijui bado karne hii, ndani ya Tanzania, tuna majitu fukara wa akili. Ni kweli sisi sote hatukuwepo siku hizo ni kilicho mbele yetu ni hadithi za alfulela ulela tu. Lakini mengine tupime

Nimekupa chimbuko la habari ya Adam kuwa ni muislamu na makala ya kusoma. Kukubali kukataa ni juu yako. Lakini usilete hadithi zisio na mkia ukafikiri watu wote ni debe tupu watazipokea tu. wafuate wajinga waliwao.
Hakuna cha makala ya Adamu kuwa mwislamu wewe, nimekutolea mifano mingi sana umeshindwa hata kuuelezea huo uislamu wako kabla ya miaka 500 A.D. wewe jiulize tu ni kwanini neno uislam halipo ndani ya Biblia? hata hilo tu limekuwa gumu kwako kulielewa? . Nimesema miungu na dini zote za wakati ule zimeandikwa katika Biblia ndani ya sehemu zote kuu mbili yaani Agano la Kale na Agano Jipya.

Kwa taarifa yako hata misri ilikuwa na dini na miungu yake na siyo uislam maana hata wamisri wenyewe wanajua fika kuwa Wana wa Israeli walikuwa watu kwao chini ya Farao B.C na baadaye walitoka wakiongozwa na Musa hadi nchi ya Wakanaani na wafilist( Wapalestina) na kuimiliki hiyo nchi baada ya vita vikali. hata wafilisti wenyewe hawakuwa waislam maana mungu wao alikuwa dagoni, mungu wa sidoni alikuwa baali soma wafalme wa kwanza 16:29-33.

Hata huko Siria uislam haukuwepo ndugu yangu mji wa Antioki Sria ulikuwa kituo kikubwa sana cha ukiristo ma huko ndiyo jina "Wakristo"lilianzia likiwa na maana kwamba "wafuasi au watu wa Kristo soma Matendo ya Mitume 11:19-30. Huko Sria (leo waislam) ndipo mahali Mtume Paul alianzia Umissionary wake Tazama Matendo ya Mitume 13:1. hapo uislam haukuwepo kabisa kabisa.

Injili iliyohubiriwa katikati ya miaka ya 4 A.D hadi 500 A.D ndiyo iliwafanya Wimisri kuwa Wakristo na hivyo baadaye mji wa Alexandria ukawa kituo kikuu cha Ukristo baada ya Antioki ya Syria, wamekuja kuwa waislam katikati ya miaka ya 650 A.D hadi1000 A.D baada ya Muhamadi kuanzisha uislam tena kwa jihadi kubwa mno aliyoifanya. Hata hivyo mpaka leo Maktaba kubwa ya kihistoria ya Theologia ya
Bibilia na Ukristo bado iko mjini Alexandria huko Misri hata mashkhe wanalijua hilo.
 
Pamoja na yote hayo, Jumbe nae alikuwa mnafiki kwenye Suala hili la Muungano,
Kwanza, Karume kabla ya Kifo chake, alishaona mapungufu makubwa ya Muungano huu na alianza kufikiria kutoka ndani ya muungano au kubadirisha mfumo wa Muungano,
baada ya Kifo chake (Karume), Abdul Jumbe akachukua Kijiti, lakini akaua kabisa hoja za Karume za kurudi kwenye serikali tatu au shirikisho,
Abdul jumbe alifikia mpaka hatua ya kukubali kuunganisha vyama ASP-TANU kuwa CCM, kwa makubaliano ya kutofuta dhana nzima ya Mapinduzi hivyo chama kipya kiwe na neno Mapinduzi, hiyo yote inaonyesha dalili kuwa Jumbe, hakuwa muhumini halisi wa serikali tatu,
kutokana na kuhuisha hoja za Karume zilizokuwa zinauquestion Muungano, Pamoja na kujenga nyumba yake bara (Kigamboni) Jumbe akakosa mvuto kwa wana Zanzibar na akaonekana si mwenzao, na ili kurudisha trust yake alibidi aanze kutafuta uungwaji mkono tena na alianza kampeni zake kupitia nyumba za ibada.

Kwa sasa Jumbe ataonekana ni muungwa na mtetea Muungano lakini kwa uhakika toka 1972-1984 hakuwa hivyo

Cc: Pasco , Malafyale


Hujui Hoja ya Sheikh Jumbe ndio sababu umejivuruga.

Jumbe hakuwa akipinga Muungano, alikuwa akiukubali sana na ndio sababu katika kuonesha Tanzania ni moja

1) Alikubali kuunganisha Vyama vya siasa ASP na TANU na laiti angekuwa Muoga basi asingekubali.
2) Alifanya ziara nyingi za kuhamasisha Maendeleo hata huku bara ndio sababu hata wakati Nyerere anaitisha kikao cha dharura cha NEC Mzee Jumbe alikuwa anatokea Musoma kwny ziara za kiserikal kuchochea Maendeleo.
3) Kujenga Nyumba Bara ni ishara yake kuonesha hakuwa na dhamira ya kuvunja Muungano bali kuleta Muungano wenye maridhiano na ndio sababu alikuwa akiandaa andiko la Muundo wa Serikal tatu liletwe kwny NEC na lijadiliwe ( aliamini katika kujenga hoja) lakini akafukuzwa kwa kuwa na hoja hiyo kama vile ni haramu kuwaza tofauti na kuleta hoja.
4) kuna Wengine makaja na hoja alikuwa anapambana na kina Seif tena mkawaita wapenda Mabadiliko sasa jiulize kama Jumbe alikuwa ndie
Aliesimamia kuunganisha TANU na ASP Zanzibar
Alieanzisha katiba ya Zanzibar na kuachana na kutumia Amri za Rais kutawala ( decree)
alienzisha Baraza la Wawakilishi na kuachana kutawala kwa kutumia Baraza la Mapinduzi
Alieweka bill of Human rights Zanzibar
Alieamua kuacha desturi ya kuwabagua Wapemba na kuwajumuisha Serikalini

Pamoja na mabadiliko yote aliyofanya bado tunamwita eti hakuwa Mpenda Mabadiliko na kina Seif ndio wapenda Mabadiliko.
 
Wacha
Hujui Hoja ya Sheikh Jumbe ndio sababu umejivuruga.

Jumbe hakuwa akipinga Muungano, alikuwa akiukubali sana na ndio sababu katika kuonesha Tanzania ni moja

1) Alikubali kuunganisha Vyama vya siasa ASP na TANU na laiti angekuwa Muoga basi asingekubali.
2) Alifanya ziara nyingi za kuhamasisha Maendeleo hata huku bara ndio sababu hata wakati Nyerere anaitisha kikao cha dharura cha NEC Mzee Jumbe alikuwa anatokea Musoma kwny ziara za kiserikal kuchochea Maendeleo.
3) Kujenga Nyumba Bara ni ishara yake kuonesha hakuwa na dhamira ya kuvunja Muungano bali kuleta Muungano wenye maridhiano na ndio sababu alikuwa akiandaa andiko la Muundo wa Serikal tatu liletwe kwny NEC na lijadiliwe ( aliamini katika kujenga hoja) lakini akafukuzwa kwa kuwa na hoja hiyo kama vile ni haramu kuwaza tofauti na kuleta hoja.
4) kuna Wengine makaja na hoja alikuwa anapambana na kina Seif tena mkawaita wapenda Mabadiliko sasa jiulize kama Jumbe alikuwa ndie
Aliesimamia kuunganisha TANU na ASP Zanzibar
Alieanzisha katiba ya Zanzibar na kuachana na kutumia Amri za Rais kutawala ( decree)
alienzisha Baraza la Wawakilishi na kuachana kutawala kwa kutumia Baraza la Mapinduzi
Alieweka bill of Human rights Zanzibar
Alieamua kuacha desturi ya kuwabagua Wapemba na kuwajumuisha Serikalini

Pamoja na mabadiliko yote aliyofanya bado tunamwita eti hakuwa Mpenda Mabadiliko na kina Seif ndio wapenda Mabadiliko.
Wacha tuone! ila mie nakitamani sana kitabu chake "THE PARTNERSHIP" sasa sijui nitakipata wapi ili nisome maana humo ndimo yanapatikana maneno yote ya ndg yetu Jumbe
 
Hujui Hoja ya Sheikh Jumbe ndio sababu umejivuruga.

Jumbe hakuwa akipinga Muungano, alikuwa akiukubali sana na ndio sababu katika kuonesha Tanzania ni moja

1) Alikubali kuunganisha Vyama vya siasa ASP na TANU na laiti angekuwa Muoga basi asingekubali.
2) Alifanya ziara nyingi za kuhamasisha Maendeleo hata huku bara ndio sababu hata wakati Nyerere anaitisha kikao cha dharura cha NEC Mzee Jumbe alikuwa anatokea Musoma kwny ziara za kiserikal kuchochea Maendeleo.
3) Kujenga Nyumba Bara ni ishara yake kuonesha hakuwa na dhamira ya kuvunja Muungano bali kuleta Muungano wenye maridhiano na ndio sababu alikuwa akiandaa andiko la Muundo wa Serikal tatu liletwe kwny NEC na lijadiliwe ( aliamini katika kujenga hoja) lakini akafukuzwa kwa kuwa na hoja hiyo kama vile ni haramu kuwaza tofauti na kuleta hoja.
4) kuna Wengine makaja na hoja alikuwa anapambana na kina Seif tena mkawaita wapenda Mabadiliko sasa jiulize kama Jumbe alikuwa ndie
Aliesimamia kuunganisha TANU na ASP Zanzibar
Alieanzisha katiba ya Zanzibar na kuachana na kutumia Amri za Rais kutawala ( decree)
alienzisha Baraza la Wawakilishi na kuachana kutawala kwa kutumia Baraza la Mapinduzi
Alieweka bill of Human rights Zanzibar
Alieamua kuacha desturi ya kuwabagua Wapemba na kuwajumuisha Serikalini

Pamoja na mabadiliko yote aliyofanya bado tunamwita eti hakuwa Mpenda Mabadiliko na kina Seif ndio wapenda Mabadiliko.

Kaka mbona unajichanganya na unajibu ambacho sijaandika?, wapi nimesema Jumbe alikiwa mwoga? Hebu nisome tena
 
Back
Top Bottom