ZEE BURGER
New Member
- Apr 18, 2020
- 2
- 0
Tuangalieni picha kubwa,maziko ni matokeo ya hali tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuangalieni picha kubwa,maziko ni matokeo ya hali tu
Kaa ndani wewe uwe salama. Usiwe kama li nguruwe kusubiri kufungiwa.Huu ugonjwa utatumaliza. Serikali isiwe kichwa ngumu watu wakae ndani hali ni mbaya.
Umeshakula mvuke?Inna li Llahi wa Inna Ilayhi rajiun.
Alizaliwa 1945 na alitarajiwa kutimiza miaka 70 mwezi wa nanane (8) mwaka huu.
Mtamlaumu bure tu, Jiwe alisema mwenyewe ameshachoka haiwezi kazi ya Urais ila amelazimishwa tu, kwa hiyo inatakiwa kuridhika na matokeo. Kuonesha msisitizo kakimbilia zake Chato , msipomuelewa basi tena
Nakumbuka hata pale mbunge kama kessy alipokua akimshambulia zitto kwa kuzuia mkopo baloz hakupga makofi kushangilia kama praise team weng wafanyavyo kweli alikua man of integrity Mwenyez Mungu ampunguzie adhabu ya kabur apumzike vema...Dah alikuwa mtu poa sana yan hana majivuno wala kejeli kama mawazir weng na wabunge wa ccm walivyo nakumbuka hata mh sugu alimtabiria kama kungekua na tume huru ya uchaguz ni mmoja wa wabunge wa ccm ambao wangerejea bungeni....... RIP... bwana ametoa bwana ametwaa jina lake lihimidiwe...wote ni njia yetu.....see you again baloz Mahiga
Its not over until its over...[emoji769]
hilo Tangazo liko wapi, tuwekee hapa mkuuGuys katika magazeti ya jana 30th april, 2020 kulikuwemo tangazo la mnada wa kuuza nyumba ya waziri mahiga mbezi beach dsm. Hii ni kutokana na deni la mkopo wa benki. Wakati tunabashiri kuhusu sababu ya kifo cha mpendwa huyu na hili tujue laweza kuchangia. Wasalam
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajifungia ndani chato huku unamwambia wenzako endeleeni kuchapa kazi Kama wewe siyo muuaji ni nani?Unajifungia ndani chato huku unamwambia wenzako endeleeni kuchapa kazi Kama wewe siyo muuaji ni nani?
Mkuu vipi ukiweka Uzi unaojitegemea kabisa kuhusu hili!Komenti Nzito sana hii nduguHuu ugonjwa ni hatari mazee naona kigogo anasema gambo kazika 30 kwa siri kumbe lema alikuwa eneo la tukio
Dunstan jiheshimu.Rais wako anapowambia watu waendelee kuchapa kazi huku yeye kaji isolate unaona ni sawa.Kaa ndani wewe uwe salama. Usiwe kama li nguruwe kusubiri kufungiwa.
Amekuzuia wewe kuji isolate? Unakuwa kama li ng'ombe mpaka uwe isolated. After all, unaweza kuji isolate bado ukachapa kazi.Dunstan jiheshimu.Rais wako anapowambia watu waendelee kuchapa kazi huku yeye kaji isolate unaona ni sawa.
mi simoLyatonga!!?
Alizaliwa 1945 na alitarajiwa kutimiza miaka 70 mwezi wa nanane (8) mwaka huu.
Tahadhari: ni kosa kubadili takwimu.