Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka 777 ndo nani ??Junaithar katulizwa na kaka 777 kaacha kudanga. Shamsa nae si kaolewa jamani hayo mambo anayafanya bado.
Kwani Mashoga hawafi?Huyu si alikua Shoga
@watumie ulipotelea wapi? Jukwaa lilikumiss sana aisee. Pole kwa msiba.
MAANDIKO YANASEMA MTI USIOZAA MATUNDA UTAKATWA TUU..! SASA JITU LENYEWE KAZI KUKATA MAUNO KWENYE KITCHEN PART WHY MUNGU ASIPURUNI ILI MIMEA MINGINE IMEE NA KUCHANUA VYEMA..Muimba taarabu Bilal Mashauzi ameaga dunia jioni hii. Msiniulize chanzo hata mimi sijui.Pumziko jema Bilal.
Moja ya kazi za Marehemu Bilal enzi za uhai wake
Jamani kifo hiki, juzi tu nilikua nachat nae jamani alikuwa anataka kuja South Africa. Uwii Warumi sina nguvu nimeishiwa.
]
Rest In Peace best wangu!
inasikitisha sana,nikuomba Mungu Watoto wetu na vizaz vyetu wasiwe mchicha mwibaEeeh
Ila hizi ishu si za ku entertine kabsa
Kama jamii yafaa tuangalie inaishaje
Ulikuwa unamuona? Bora. Kuliko kuonana.Hapana nilikua na mie namuona tu mjini
Alikuwa anakuja south kufanyeje binamu?Dyudyu tamu binamu oooh ukishaonja hakuna cha kujificha
Asante warumiDyudyu tamu binamu oooh ukishaonja hakuna cha kujificha
Hahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila bilalimashauzi ana mashosti wa kutosha mjini tena kwenye mihela babu
AmeeenMungu atunusuru na vizazi vyetu
chondechonde usikafiche kauncle ketu ukikaa nako sana kataiga tabia zako ( za kikekike). Bora uwe unamzoesha kukaa na wajomba zake Mara kwa Mara hii itamsaidiaYaaani!!!Nakaangaliaga nawaza nikizaa ki baby boy sijui nikifiche wapi kisikumbane na haya ya dunia
Nami kanifurahisha anavyosifia dyudyuhhahahahah huu uzi ni wa msiba lakini warumi ana nivunja mbavu aiseee