TANZIA: Bilali Mashauzi afariki dunia

Alikuaga mkorofi na yeye.
 
Wazazi wanaumizwa sana na watoto wao wakishakua hivyo ila ndo watafanyaje sasa.
 
Mungu atunusuru na vizazi vyetu
Hili ndio moja ya sentensi muhimu ssaaana katika uzi huu, bila nusra hakuna kitakachobaki, ila dada shunie nusra ina sharti zake, na mojawapo ni kuanza kuitafuta mapema, hapa nakusudia kwenye malezi.
Ili kizazi kinusuriwe basi kuwe na msingi mzuri wa malezi, na malezi hapa nakusidia kimwili na kiroho, bila hivyo gharama yake haipimiki.
 
777 nae mario full option hana kitu,uliza wazee wa mjini watakuambia
Mbona nasikia ana mpunga sana. Na bata lake analokula si haba. Mwanzoni nilisikia anakula hela kwa yule mzungu ila mbona kama mzungu hayupo na kila siku namuona airport mpya anaconnect ndege
 
Ana vitukooo james ukiona anajiliza liza tu anatamani kufa ujue hana pesa post ya tatu anakopa pesa hahahaha
Hivi pesa wanapelekaga wapi? Maana James hata hakai mwenyewe wamebebana na machokoraa wenzake Sinza chumba kimoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…