TANZIA: Bilali Mashauzi afariki dunia

TANZIA: Bilali Mashauzi afariki dunia

Niliwahi kukaa selo obay police mwaka fulani, akaletwa huyu kwa kufanya fujo nightclub. Palikuwa hapakaliki ndani jīnsi wahunī walivyokuwa wanamsumbua. Ilibidi abane mbele kabisa karībia na geti. Alidhaminīwa na kuachîwa baada ya masaa machache.
Alikuaga mkorofi na yeye.
 
Japo kifo kinauma hasa cha ndugu damu moja ila no wonder wazazi wake huko waliko wanamshukuru Mungu kwa kuwaondolea aibu hii kubwa ktk dunia hii.

Africa asili yetu ni kuheshimiana miili yetu sasa anapotokea mtu akaenda tofauti na asili hiyo kwa kutenda ujinga kama huu wa ushoga kisha wazazi wakajua hali hii inawaumiza sana.

Mungu hayaachi machozi ya wazazi wanaolia kwa watoto wao waliokengeuka na kufanya mambo ya kishenzi yakuwadhalilisha ndiyo maana wanakufa wakingali wadogo.juzi kafa yule Kaoge wa Diva na bado wataondoka sana.
Wazazi wanaumizwa sana na watoto wao wakishakua hivyo ila ndo watafanyaje sasa.
 
Mungu atunusuru na vizazi vyetu
Hili ndio moja ya sentensi muhimu ssaaana katika uzi huu, bila nusra hakuna kitakachobaki, ila dada shunie nusra ina sharti zake, na mojawapo ni kuanza kuitafuta mapema, hapa nakusudia kwenye malezi.
Ili kizazi kinusuriwe basi kuwe na msingi mzuri wa malezi, na malezi hapa nakusidia kimwili na kiroho, bila hivyo gharama yake haipimiki.
 
777 nae mario full option hana kitu,uliza wazee wa mjini watakuambia
Mbona nasikia ana mpunga sana. Na bata lake analokula si haba. Mwanzoni nilisikia anakula hela kwa yule mzungu ila mbona kama mzungu hayupo na kila siku namuona airport mpya anaconnect ndege
 
Ana vitukooo james ukiona anajiliza liza tu anatamani kufa ujue hana pesa post ya tatu anakopa pesa hahahaha
Hivi pesa wanapelekaga wapi? Maana James hata hakai mwenyewe wamebebana na machokoraa wenzake Sinza chumba kimoja.
 
Back
Top Bottom