whitehorse
JF-Expert Member
- Aug 29, 2009
- 2,565
- 4,432
TumekomaaHata Wanawake Wanaoshadadia Sana Hii Nao Wanatoa Spika
Unadhani haya mambo acha tu[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Weeee.Pole ya nini we kaka? Mi ushoga ba mashoga wapi na wapi
Ni kilizi mno nae anadeka utafikiri sio mwanaume ananiudhiiiiiii ananililiaga saa nyingine simjibu ajikaze bana ,huduma ashapata na uzembe alifanya mwenyewe
Sawa kazembe zembe roho ndogooo namzidi hadi mi mwanamkeNitamwona nijue nini cha kufanya.
Inaonekana alizembea mapema.
Am offended! [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Alishazeeeka na yeyeAnachaaje yule alishakubuhu, wanajikosha tu labda wangesema Alikosa soko
Wali maharage huyo shemAisee mbona anaonekana wali maharagwe?
Mbona wanakufa sana,au wanachomwa sindano na wasiojulikana?[emoji23] [emoji23]Wali maharage huyo shem
Nasikiaga hawaishigi muda mrefu haoMbona wanakufa sana,au wanachomwa sindano na wasiojulikana?[emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Jaman c nilisikia matola kafa, watu wabaya kwa uzushi
Duuhh!ana kweli ndoa ni riziki tu!Eeeh. Na nasikia ndoa inanukia nukia sasa hivi
Sijui vizuri kakaUnajua vizuri, sema unajifanya hujui.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nichangieni wa mbea wenzangu , kufa kufaana au ndo kupendana kwenye umbea tu shida tutajibeba wenyewe
WanamuenziWamempost nakwambia
Nakumbukaga enzi hizooo balaa!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Alikuwaga anatufurumusha huyooo warumia anakuja pm anapanga mbinu mpyaa wapi anaishia kutukana analimwa ban