ndo ushangae sasa binaadam wa ajabu sana.Anamlinda mwanae huku anafuga mashoga smh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndo ushangae sasa binaadam wa ajabu sana.Anamlinda mwanae huku anafuga mashoga smh
HhhhhaaaaaaaaaaaMarehemu alikua mbea sana uwiiii
RugeMungu na Technology
Has a hhhaaaaa aaaaaaaaaaaHamkwemda kumzika mbea mwenzetu maanq marehemu nae alikua anachamba kiama, au watu wanaogopa marehemu atawachamba
Of all people wema ndo mwanamke pekee anayefuga mashoga wengi hapa mjini karibu wote anaotembeaa nao ni mashogaaa yaaan from her manager mpka kwa wale mafans wake wa damu wote ni mashogaa sijui kwannAnamlinda mwanae huku anafuga mashoga smh
Ndo maana Mungu anamuonea huruma kumpa mtotoOf all people wema ndo mwanamke pekee anayefuga mashoga wengi hapa mjini karibu wote anaotembeaa nao ni mashogaaa yaaan from her manager mpka kwa wale mafans wake wa damu wote ni mashogaa sijui kwann
HhhhaaaaHaogopi unadhani kaka angu?? [emoji23][emoji23]
Ndo wapi hukoUkitaka kujua tanzania ina mashoga wengi wewe jiunge peperonity utachoka
kwa hiyo na wewe ni shoga mwenzie mkuu?Ila marehemu alikua anachamba hadi raha na alikua anapenda umbea, ukiwa nae huboeki, jaman marehemu alikua Ana mdomo uwiiii
Bilali ndiye aliyekuwa anamuunganisha wema, na wanaume Wenye pesa, unapita kwa bilali dau linaanzia Milioni tant, unamlipa wema anaitwa anapewa nneOf all people wema ndo mwanamke pekee anayefuga mashoga wengi hapa mjini karibu wote anaotembeaa nao ni mashogaaa yaaan from her manager mpka kwa wale mafans wake wa damu wote ni mashogaa sijui kwann
wataua soko madam, wana matumaini waje wengine wakiwataja watakimbiwa. Kuna mmoja alitopewa akikosa bwana wiki anatafuta mtu kinguvu akamnanii.Ili aibu wapate wotee
kwa hiyo na wewe ni shoga mwenzie mkuu?
Shoga,na alikuwa muimba taarabu wanasemaAlikuwa nani huyu....
Bwabwa sio....Shoga,na alikuwa muimba taarabu wanasema
Ndio hivyo etiBwabwa sio....