kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,421
- 18,760
Apumzike panapostahili....Ndio hivyo eti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apumzike panapostahili....Ndio hivyo eti
ID ya Lara1 ilikuwa inasemekana ni ya MangeKwa nini binamu? Halafu Mimi na huyo lara zilikua haziivi, lol
Kazi kweli kweli huyo Wema huo.uchangu umempa nini Mpaka Leo?Bilali ndiye aliyekuwa anamuunganisha wema, na wanaume Wenye pesa, unapita kwa bilali dau linaanzia Milioni tant, unamlipa wema anaitwa anapewa nne
ID ya Lara1 ilikuwa inasemekana ni ya Mange
Si kweli.ID ya Lara1 ilikuwa inasemekana ni ya Mange
Si kweli.
Si kweli.
Mdomoni je?
Shoga mzee yupo block 41 anapika mahanjumati.na anajua kupika .alivyozaa hamisa shoga ndie aliyepika kwenye shuhuli yake .yupo mwengine anaitwa abdalla mapilau mzee ila sijui kama bado yupo hai.alikuwa anakaa sio mbali na Best bite .
hahaha kumbe ulikua unamjua sindo aliitwa mvuto jamani???Anaitwa hafidh Yule Mtoto Anafirana Kama Ngisi[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Halafu wa kiumeNdo maana Mungu anamuonea huruma kumpa mtoto
Matola I love you
Hivi aliswaliwa kweli?Nasikia Mashmash,Mashauzi,Mashallah watu walijaaaa wadada wa mjini wooote alokuwa skiwatafutia madanga walitikisa Mwananyamala Kisiwani ila wababa walijishtukia hawakumtendea vyema walimuhukumu mnaambiwa msihukumu msijekuhukumiwa mngemsitiri tu mwanaume mwenzenu ya kwake mngemuacha yy na Mungu wake.
Lara Nko Nae Nimemuambia Aingie MpambaneMatola I love you
Na ngumi jee??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hata najua kama wanaume walimtenga nani angemswalia?Hivi aliswaliwa kweli?
Naona amenyanyua kimkia kabisa.Dizaini kama wamefanana ila yule wanayeongozana sana na sepenga ni huyuView attachment 771130