Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Mashmash hata kibanda cha chumba kimoja hajaacha,pole Kajala kuondokewa na mtu wa karibu!
Aahaa !! Ndio maana nimemuona Junaitha hapo.Muimba taarabu shoga ake Wema Sinta na Junaithar.
Sperms zitakua zina sumu mbaya sana. [emoji23][emoji23][emoji23]Its not healthy huwa wanakufa mapema sana.
Yaan marekani Life span ya mtu wa kawaida ni miaka 89, ila mashoga ni miaka 54 na hapo ni nchi za wenzetu.wana mifumo ya afya mizuri na mashoga hupewa care.
Kwa nchi maskini unadhani inakuwaje.
Yap kaoge na wanakufa wenye sura mbayaKaoge
Wanajionea kawaida tu wenyeweYani mkutane huko mtaani mambo poa ila kwenye maisha yako hapana. Nawazaga Junaithar anavyokua karibu na Bilal na ana mtoto wa kiume ila wala hajali
@glass amo nimekutagMwanamke
Kaoge alifariki!!!![emoji15] [emoji15] [emoji15]Kaoge
Yaaani!!!Nakaangaliaga nawaza nikizaa ki baby boy sijui nikifiche wapi kisikumbane na haya ya duniaTatizo nako kanajichetua sana
Heee Upo wapi mwenzangu wewe? Yaani msiba wanaume walizira jeneza wakabeba mashosti zake aliokuwa anadanga naoKaoge alifariki!!!![emoji15] [emoji15] [emoji15]
Binamu pole na msiba, sikuwa na lengo la kukuumiza kwenye kipindi kigumu.Sasa ushoga na kifo kinahusikaje , kwa hyo vifo wamewekewa mashoga tu ?? Mungu anakuona binamu
Hapa najiuliza warumi ni ME au KE?Now umejiexpose umeondoa doubts zangu!dah