TANZIA: Bilali Mashauzi afariki dunia

TANZIA: Bilali Mashauzi afariki dunia

Hivi huko dar hawa watu mnaishije nao ? Wana stori gani sasa au nao wanaongea kuhusu kut***w* ? ,dah mtu kama huyu mimi sikai nae hata karibu ,,kama mungu katukataza kukaa karibu na dem mwenye period itakua hawa
 
Its not healthy huwa wanakufa mapema sana.

Yaan marekani Life span ya mtu wa kawaida ni miaka 89, ila mashoga ni miaka 54 na hapo ni nchi za wenzetu.wana mifumo ya afya mizuri na mashoga hupewa care.

Kwa nchi maskini unadhani inakuwaje.
Sperms zitakua zina sumu mbaya sana. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa ushoga na kifo kinahusikaje , kwa hyo vifo wamewekewa mashoga tu ?? Mungu anakuona binamu
Binamu pole na msiba, sikuwa na lengo la kukuumiza kwenye kipindi kigumu.

Ila ishu yangu ilikuwa ni watu wengi mashoga hasa nchi zetu za kimaskini wako na hatari ya kupata magonjwa mengine kama HIV na Cancer na life span yao ni ndogo kuliko wasio mashoiga. Hili limethibitishwa kisayansi kabisa. Simtakii binadam yeyote afariki.
Mambo madogo haya ndugu yangu. Poleni
 
Back
Top Bottom