kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,457
- 5,893
Hivi alikuwa anaumwa mbona ghafla hivi
Ghafla kivipi wewe ulitaka mungu amcheleweshe ili iweje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi alikuwa anaumwa mbona ghafla hivi
na kinachowaua wengi ni kuunguaWatu huwa hawajui tu ila mashoga wa nchi za kimaskini huwa wana life span fupi sanaa.
Siyo kitu normal hiko ni lazoma uwe unajua kuji mantain
kumkafini ndio nini tena jamani?sasa huyu wakimkafini itakuwaje maana kunduchi lote liko wazi..
Kwa kweli jamani uwiii Mola wangu tuepushe!Mungu atunusuru na vizazi vyetu
Sija juaHivi ile inaweza kuharibu mpaka spinal cod eee
Acha tumuhukumu apumzike anapostahikiMagomeni yote itakuwa imezizima kwa simanzi.
Poleni wafiwa, tusihukumu jamani.
MhGhafla kivipi wewe ulitaka mungu amcheleweshe ili iweje?
[emoji120][emoji120]Kwa kweli jamani uwiii Mola wangu tuepushe!
Okey!Ukiwa na upungufu wa kinga mwilini uko katika hatari zaidi ya kupata cancer
Mashoga huwa hawaishi muda mrefu sana sijui kwanini?!Nawaza kale ka James sijui kama katagonga kote maana anatembeza tako hatari
Eeehna kinachowaua wengi ni kuungua
Ni laana hiyo kutoka kwa muumbaji huwezi kutumia sehem ya kutolea uchafu mwilini kwa matumizi mengine afu ubaki salamaUko sawa
Na colon cancer ina waua sana pia
Kuna jamaa alisema kuwa shoga unapunguza 20 yrs ya life span yako Regadless uko wapi.
Na inabidi watumie dawa kwa kujificha hasa hawa macelebrate wetu, akienda clinic tu watu wana pasi ana massage insta na WhatsAppOkey!
Kwa hiyo tatizo kubwa zaid ni kuwa wako vurnalbe na HIV eeh?
Kwa kweli ni kitendo cha ki barbarc kishenzi.Ni laana hiyo kutoka kwa muumbaji huwezi kutumia sehem ya kutolea uchafu mwilini kwa matumizi mengine afu ubaki salama
Anhaa! Hapo nimekusoma.Na inabidi watumie dawa kwa kujificha hasa hawa macelebrate wetu, akienda clinic tu watu wana pasi ana massage insta na WhatsApp
Aiseee nasikiaga tu kupigwa bomba watolewe sijui ni sperms sijui ni nini hata sijui vizuriSija jua
Lakini wengi hupata colon cancer na ni rais kupata HIV
Ushoga is not normal act lazima wanao fanya wapate shida tu