Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
KamekongorokaNawaza kale ka James sijui kama katagonga kote maana anatembeza tako hatari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KamekongorokaNawaza kale ka James sijui kama katagonga kote maana anatembeza tako hatari
Kwanini maisha yao yanakuwa mafupi elezeaWatu huwa hawajui tu ila mashoga wa nchi za kimaskini huwa wana life span fupi sanaa.
Siyo kitu normal hiko ni lazoma uwe unajua kuji mantain
Aliwahi kumiliki pub mtaa wa Wibu kinondoni... Ilikuwa inajaa mamende pomoniMuimba taarabu Bilal Mashauzi ameaga dunia jioni hii. Msiniulize chanzo hata mimi sijui.Pumziko jema Bilal.
Moja ya kazi za Marehemu Bilal enzi za uhai wake
Shoga maarufu sana kinondoniNdio nani. ???
Kafa na nini..??
Haaa haaa na anaijua dini balaauncle Khasimu ila hanaga neno na mtu masikini,vyakula vitamu ila nikikumbukaga anafukuliwa hamu sina ya midikodiko yake
Ila vyakula vyake vinaonekana vitamuAhahahah..yule mpishi nilimwangalia nikasema kalegea nae au labda sababu ana kaudongo ka Mecca kwa mbali kumbe....
Na wewe umeshajiingiza kwenye makundi ya wauza sembe?Jamani kifo hiki, juzi tu nilikua nachat nae jamani alikuwa anataka kuja South Africa. Uwii Warumi sina nguvu nimeishiwa.
View attachment 770348
Rest In Peace best wangu!
Inajaa mende? AhahaaAliwahi kumiliki pub mtaa wa Wibu kinondoni... Ilikuwa inajaa mamende pomoni
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Inajaa mende? Ahahaa
Ntakujibu usiku mkubwa.... ila so kwa hapa..ntajifuma!Uko nje ya nchi?
Achana nae iceBraza mbona una nitusi?
Swali tata.....Swali limeni offend sana hili
mashoga wanatetewa kwa nguvu zote.Acha umbea, Elton John kawa shoga miaka mingapi? Nae kafa ? Mxiew uchawi tu , kila Nafsi itaonja umauti
Hee binam jamani yashakuwa hayaAcha umbea, Elton John kawa shoga miaka mingapi? Nae kafa ? Mxiew uchawi tu , kila Nafsi itaonja umauti
AhahahahahhahahahMwanamke
Eti kuna mdau kasema alihama Kinondoni kwenda mwananyamala ahahaa[emoji1] [emoji1] [emoji1]
chondechonde usikafiche kauncle ketu ukikaa nako sana kataiga tabia zako ( za kikekike). Bora uwe unamzoesha kukaa na wajomba zake Mara kwa Mara hii itamsaidia
NakojooooooaaaaaaaaaaaaaamsibaniiBinamu pole na msiba, sikuwa na lengo la kukuumiza kwenye kipindi kigumu.
Ila ishu yangu ilikuwa ni watu wengi mashoga hasa nchi zetu za kimaskini wako na hatari ya kupata magonjwa mengine kama HIV na Cancer na life span yao ni ndogo kuliko wasio mashoiga. Hili limethibitishwa kisayansi kabisa. Simtakii binadam yeyote afariki.
Mambo madogo haya ndugu yangu. Poleni
Binamu missss u mwaaaaa naomba unipe umbeyaa siku hizi upo SA binam unatuona takataka sawaa sawaa tu na utafilisika kama mbwaa