tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Ni sunnaMwanamke je?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni sunnaMwanamke je?
Ndege hufananao huruka pamoja.Mi mtetezi wao
HahahahaBlood, shoga haonewi huruma unamchana tu akichukia fresh.
Misiba ya mashonga haina hamsha hamshaMkuu hizi taarifa ni zakweli? Mm nakaa hapa kinondo ni mtaa wa togo, jirani na kwao na wala hamda dalili yoyote ya msiba.
Sawa ngoja nimuache akianza mambo yake ya kipuuzi nitag.Hahahaha
Ndugu yetu huyo bhana usimkazie sana
777 nae mario full option hana kitu,uliza wazee wa mjini watakuambiaJunaithar katulizwa na kaka 777 kaacha kudanga. Shamsa nae si kaolewa jamani hayo mambo anayafanya bado.
Sawa broSawa ngoja nimuache akianza mambo yake ya kipuuzi nitag.
Shoga mbabe naskia alikua anapiga ngumi balaaGeorge kawala sana mashoga wenzake kuna moo chaka nae analiwa sana na George mpaka walikuwa wanagombana sana na bilal
Shoga Shoga Tu, Hakuna Wa Kibongo Wala Wa UlayaWatu huwa hawajui tu ila mashoga wa nchi za kimaskini huwa wana life span fupi sanaa.
Siyo kitu normal hiko ni lazima uwe unajua kuji mantain
Nati ZililegeaHivi alikuwa anaumwa mbona ghafla hivi
Nasikia wema anawafuga ndani.Jamani kifo hiki, juzi tu nilikua nachat nae jamani alikuwa anataka kuja South Africa. Uwii Warumi sina nguvu nimeishiwa.
View attachment 770348
Rest In Peace best wangu!
[emoji23][emoji16][emoji23]Mazishi yalikuwa kama ya mtoto mchanga
Kimya Kimya Hupati DangaIla nao wanajuaga kuwatesa wazazi wao. Hivi wakiliwa kimya kimya wanabanduka wapi?