TANZIA: Ephraim Kibonde afiwa na Mke wake Sara Kibonde

TANZIA: Ephraim Kibonde afiwa na Mke wake Sara Kibonde

[emoji444] [emoji484] [emoji485]
tunapendaa beer..[emoji332]
sisi sote tunapendaa beer...[emoji442]
Rafiki zako tunapendaaa beer..[emoji443]
Hata ukifa tutakunywaaa beer..[emoji445]
na Mimi Mume wako nitakunywaa beer..!![emoji446]
Rafiki zako wote watakunywaa beer..[emoji447]
Hata watoto wakoo watakunywaa beer..[emoji448]
na wabaya wako watakunywaa beer..[emoji449] [emoji350]
Ha ha ha ha mkuu hii kali, ingependeza sana Kibonde angeimba haka kanyimbo kake siku ya mazishi ya mkewe tena akiwa ameshika beer mkononi.

Watu huwa wanafanya "jokes" lakini siku yakiwafika wanalia kama watoto wadogo, Kibonde alikuwa analia utadhania siyo yeye yule akiwa kwenye kipindi chake cha Jahazi na kuimba haka kanyimbo kake akiwa na akina Gadner.
 
Mbele yake nyuma yetu,Mwenyezi Mungu amfanyiye wepesi huko aendako.Poleni sana wanafamilia kwa msiba huu.
 
Pole nyingi sana kwa familia ya Kibonde kwa kumpoteza mama wa familia. Hakika kifo hakizoeleki!
 
Hakuna gonjwa jipya duniani na ukweli ni kuwa hakuna uginjwa unaopiga hodi ukikuvania
 
Mkuu kwa heshima na taadhima. Ukifaham sabab ya kifo chake wewe itakusaidia nini? Mi nadhan kuwa tukio lenyewe ni kuwa kafariki. Kufa ni kule kule tu ndugu yangu. Unaweza usife kwa ugonjwa ukafa kwa ajali au kitu kingine kabisa. Ila yooooote hayo ni kifo. Mwisho wake ni kifo. Hayo mengine mngeachana nayo ndugu zangu watanzania.

kinyama nje,
Kuna wapumbavu wanadhani kuna njia ambazo ukifa unapigiwa makofi.
 
Habari ukiisoma humu na unajua wahusika na ikawa kama hii ya mmoja kufariki inauma sana

R.I.E.P Mrs. K
 
nsalu,
Hakuna binadamu aliye kamili. Hakuna asiyetenda dhambi duniani.......
Sioni kama ni sawa kumsema mfiwa kipindi hiki kigumu kwake na isitoshe wafiwa wanauchungu na watapita huku na wakisoma haya wataumia zaidi.
Watanzania tuwe na maadali pia tuspende kuhukumu wenzetu na kujiona sisi watakatifu
Pole Kibonde, watoto wako, ndugu jamaa, marafiki na wote walioguswa na msiba huu.
Roho ya marehemu Sarah ipumzike kwa amani ... amina
 
Back
Top Bottom