Mrigariga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 1,760
- 1,619
Mimi sipo huko so NO COMMENT.Wanaokufa katika mohammad hapo vipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sipo huko so NO COMMENT.Wanaokufa katika mohammad hapo vipi?
Unasema??????????Kweli Mkuu, kuondokewa na mpendwa wako ni mtihani mkubwa sana, hasa mke ndiyo maana tumeshuhudia wengine wakiwafuata wake zao siku chache baada ya kuondoka duniani.
Una maana gani kuandika hivi
Ha ha ha ha mkuu hii kali, ingependeza sana Kibonde angeimba haka kanyimbo kake siku ya mazishi ya mkewe tena akiwa ameshika beer mkononi.[emoji444] [emoji484] [emoji485]
tunapendaa beer..[emoji332]
sisi sote tunapendaa beer...[emoji442]
Rafiki zako tunapendaaa beer..[emoji443]
Hata ukifa tutakunywaaa beer..[emoji445]
na Mimi Mume wako nitakunywaa beer..!![emoji446]
Rafiki zako wote watakunywaa beer..[emoji447]
Hata watoto wakoo watakunywaa beer..[emoji448]
na wabaya wako watakunywaa beer..[emoji449] [emoji350]
Ni kweli mkuu, upo ushahidi wa wanaume kadhaa, wengine wenye ushawishi katika jamii na wengine wananchi wa kawaida, ambao baada ya kufiwa na wake zao, nao hawakuchukua raundi.Unasema??????????
Nikadhani baa,sababu kwa mujibu wa members.jamaa hua anakesha barkakumbushia tu hiki kiwimbo kibonde na wenzie huwaga wanakiimba sana pale studio
Familia Wali disclose marehemu alikuwa akisumbuliwa na nini!?Hakuna gonjwa jipya duniani na ukweli ni kuwa hakuna uginjwa unaopiga hodi ukikuvania
Kuna wapumbavu wanadhani kuna njia ambazo ukifa unapigiwa makofi.Mkuu kwa heshima na taadhima. Ukifaham sabab ya kifo chake wewe itakusaidia nini? Mi nadhan kuwa tukio lenyewe ni kuwa kafariki. Kufa ni kule kule tu ndugu yangu. Unaweza usife kwa ugonjwa ukafa kwa ajali au kitu kingine kabisa. Ila yooooote hayo ni kifo. Mwisho wake ni kifo. Hayo mengine mngeachana nayo ndugu zangu watanzania.
kinyama nje,
Waki disclose, unataka ukamfufue?Familia Wali disclose marehemu alikuwa akisumbuliwa na nini!?
.....beer !Una maana gani kuandika hivi
Na mdogo unakuwaje?Pole sana kibonde .msiba mkubwa sana huu