TANZIA: George Tyson Afariki - Msiba mwingine Tasnia ya Filamu

kibogo

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2012
Posts
9,739
Reaction score
4,742
Ni msiba Mwingine tena umetokea yule Mwandishi na muandaaji mahili wa Filamu za Bongo George Otieno Okumu maarafu kama George Tyson aliyekuwa mume wa Monalisa amefariki Dunia kwa ajali ya Gari alipokuwa safari akitokea Dodoma Kuja Dar.




My Take:
Ndani ya Wiki mbili vimetokea vifo 3 vya hawa wasanii wa Filamu kulikoni? Kuambiana, Recho na sasa Gaorge Tyson.

=========

Salamu za rambirambi kutoka kwa celebrities wa Tanzania


Mwili wa marehemu George Tyson ukihamishwa toka Morogoro kuelekea Dar

Taarifa ya jeshi la polisi kuhusiana na ajali

Mazishi ya George Tyson
 

Attachments

  • IMG_20140609_163937.JPG
    43.6 KB · Views: 1,007
kazi yake mora haina makosa atafanya atakalo atafanya awezalo dunia ni yake haina........
 
RIP George,nimeumia kwa kweli nakumbuka ile movie yao ya kwanza kabisa,nimeisahau jina
 
Muongozaji wa Filamu mahiri na aliekuwa mume wa muigizaji maarufu wa filamu Monalisa, George Tyson amefariki dunia usiku huu kutokana na ajali ya gari iliyotokea Kibaigwa akiwa njiani kurudi kwenda Dsm. Mwili wa marehemu George Tyson umefikishwa kwenye chumba cha kuhifadhia maiti mkoa wa Morogoro.
 
Inna lillahi, mbona Majembe ndo yanaondoka?
Rest in peace bongo movie....!
 
SASA SIJUI NANI NI MKWELI!!! NIMEZUNGUMZA NA RAIS WA SHIRIKISHO ANASEMA GEORGE AMEFARIKI, JUSTIN BAYO ANASEMA GEORGE YUKO HAI NA WAKO WODINI!
Ngoja tusubiri taarifa zaidi
 
Pole Monalisa..Pole natasha...
pole bongo movies
 
SASA SIJUI NANI NI MKWELI!!! NIMEZUNGUMZA NA RAIS WA SHIRIKISHO ANASEMA GEORGE AMEFARIKI, JUSTIN BAYO ANASEMA GEORGE YUKO HAI NA WAKO WODINI!
Ngoja tusubiri taarifa zaidi



Embu ngoja tusubirie hadi asubuhi tutajua ukweli
 
Ile movie inaitwa GIRLFRIEND,aiisee this is more than sad news pole monalisa,pole mtoto wake Sonia na sasa kifo kimewatenganisha rasmii mana mlishatengana.
RIP George,nimeumia kwa kweli nakumbuka ile movie yao ya kwanza kabisa,nimeisahau jina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…