TANZIA: George Tyson Afariki - Msiba mwingine Tasnia ya Filamu

TANZIA: George Tyson Afariki - Msiba mwingine Tasnia ya Filamu

Ni msiba Mwingine tena umetokea yule Mwandishi na muandaaji mahili wa Filamu za Bongo George Otieno Okumu maarafu kama George Tyson aliyekuwa mume wa Monalisa amefariki Dunia kwa ajali ya Gari alipokuwa safari akitokea Dodoma Kuja Dar.


c7a360599c89f3c74309cc542d9db722_L.jpg


My Take:
Ndani ya Wiki mbili vimetokea vifo 3 vya hawa wasanii wa Filamu kulikoni? Kuambiana, Recho na sasa Gaorge Tyson.

kifo ni jambo litakalomkuta kila mtu hapa duniani. Na kufa kwa msanii ni kama wanavyokufa watu wengine hivyo usione ajabu.
 
Taarifa zilizotufikia hivi punde
zinasema mongozaji wa filamu
maarufu nchini George Otieno Tyson
(Pichani) amefariki dunia kwa ajali ya
gari huko Morogoro.
Taarifa hizi ambazo zimethibitishwa
na watu wa karibu yake zinasema
kuwa, mauti haya yamemfika baada
ya gari walilokuwa wakisafiria kupata
ajali na kupinduka walipokuwa
wameenda kwa ajili ya kipindi cha
The mboni show ambacho yeye
alikuwa ndiye muongozaji mkuu.
Wasanii na mastaa mbalimbali
nchini wameoneshwa masikitiko yako
juu ya kifo hichi ikikumbukwa kuwa
ni siku tano tu zimepita tangu
mwigizaji Rachel Haule alipotutoka.
Batuli: - Niongee nini, niseme nini
Mwenyezi Mungu tusamehe sie waja
wako, Yarabbi eeeeeh Mola wng,
R.I.P My brother, My shemeji, My
director......Eeeeeh Mola mpokee
George Tyson wetu, Poleni wasanii
wenzangu, Poleni team nzima ya the
mboni show thembonishow Pole
Monalisa wangu
Rose Ndauka: Ki ukweli sina LA
kusema ila asante baba wa mbinguni
kwa kila jambo. ...mola mpokee
ndugu yetu, kwa mikono salama na
umlaze pema peponi ameen.....R.I.P
George Tyson.
Agness Masogange: R.I.P George
tyson mm siamin bado jmn E Mungu
tuhurumie waja wako!
Flaviana Matata : This is very sad
aisee,Rest In Peace Tyson.Mungu
kakupenda zaidi, - monalisa pole
sana dadangu,Mwenyezi Mungu
awatie nguvu
Wema Sepetu - Kwa mara ya tatu
bila hata kupumzika week...
tunamzika mwenzetu mwingine...
George Tyson.... Dah... Im just
speechless.. RIP brother... Dah sijui
Da Mboni wangu ana hali gani
aisee.... Pole dada akee ... Mungu
akupe nguvu wewe pamoja na team
yote ya thembonishow .... Pigo
kubwa tena kwa wasanii.... Tunaisha
tu jamani.
Aunty Ezekiel - Mungu wang
Naomba useme na sisi jaman Mungu
baba tuone sisi jaman Naumia siwezi
elezea jaman RIP Tyson wang jaman
Rip director .....Nakosa lakusema
Mohamed Mwikongi : Hakika
yametufika, A film director George
Otieno Tyson naye hatunae tena
duniani.
George Tyson aliwahi kuwa mume wa
mwigizaji Monalisa na kuweza kuzaa
naye mtoto mmoja. Mung ailaze roho
ya marehemu mahali pema peponi.
picha yenyewe iko wapi?
 
Pasco weekend ilikuwa ndefu nini? Kuna uzi tangu saa saba usiku wa kifo cha G.tyson.
 
Last edited by a moderator:
Muongozaji wa Bongo Movies na vipindi mbalimbali vya television hapa nchini,George Tyson, (Baba Sonia), amefariki dunia,kwa ajali mbaya wakati akitokea Dodoma, maeneo ya Gairo, akiwa pamoja na timu ya The Mboni Show, ambao pia wamejeruhiwa vibaya sana.

Kwa sasa mwili wa Marehemu na majeruhi, wamepelekwa katika hospitali ya mkoa wa Morogoro.

Pia kumbuka George Tysona aliwahi kuwa mme wa msanii Monalisa, na wakabahatika kuzaa mtoto mmoja anayeitwa Sonia.

R.I.P George Tyson, Get well Mboni Masimba crew, pole sana Monalisa.
 
pichani ni marehemu George Tyson na crew yake ya mboni show mapema jana wakati wa utoaji wa madawati huko dodoma
 

Attachments

  • 1401518084640.jpg
    1401518084640.jpg
    66.6 KB · Views: 615
  • 1401518104120.jpg
    1401518104120.jpg
    48.1 KB · Views: 590
  • 1401518122426.jpg
    1401518122426.jpg
    61.7 KB · Views: 575
  • 1401518144354.jpg
    1401518144354.jpg
    50.4 KB · Views: 561
  • 1401518169856.jpg
    1401518169856.jpg
    30.7 KB · Views: 555
  • 1401518186410.jpg
    1401518186410.jpg
    34.2 KB · Views: 540
  • 1401518200465.jpg
    1401518200465.jpg
    35.1 KB · Views: 539
5. Natabiri: - Vifo vya Vijana
vikiongozana na mauaji ya
kupanga vitakuwa jambo la
kawaida kwenye Mwaka huu na
wahusika zaidi ni Wasanii wa
fani zote wakiwemo Waandishi
wa Habari .

1.kuambiana,
2.r.haule
3.g .tyson

stupid...
 
Kuambiana kafa kwa ajali?Rachel je?Siku ikifika hata ukiwa unatembea kwa miguu,utakufa tu.Kila nafsi itaonja umauti.
Haya magari mnanunua hovyohovyo Japan na kujiendeshea kama pro....mjue yanachinja. Muwe mnaenda proper driving school na myaheshimu magari....yanaua...sawa vijana??..


Out.
 
Huwezi kumjua kama haukuwa unafatilia wasanii toka miaka ya 2000.Anaitwa George Otieno Tyson producer wa vipindi mbalimbali kwenye TV[ na films QUOTE=kibheri;9682807]Ndo nani huyu?[/QUOTE]
 
Ni ngumu kuamini jamani!!! Inaumiza sana. Eee Mungu uturehemu. Rip George.
 
Ni msiba Mwingine tena umetokea yule Mwandishi na muandaaji mahili wa Filamu za Bongo George Otieno Okumu maarafu kama George Tyson aliyekuwa mume wa Monalisa amefariki Dunia kwa ajali ya Gari alipokuwa safari akitokea Dodoma Kuja Dar.


c7a360599c89f3c74309cc542d9db722_L.jpg


My Take:
Ndani ya Wiki mbili vimetokea vifo 3 vya hawa wasanii wa Filamu kulikoni? Kuambiana, Recho na sasa Gaorge Tyson.

=========




UNAKUMBUKA HUU UTABIRIIIIIIIIIIIIII

http://www.gumzolajiji.com/2014/01/mtoto-wa-sheikh-yahya-hussein-atabiri.html
 
Back
Top Bottom