Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
RIP George,nimeumia kwa kweli nakumbuka ile movie yao ya kwanza kabisa,nimeisahau jina
inaitwa Girl Friend!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RIP George,nimeumia kwa kweli nakumbuka ile movie yao ya kwanza kabisa,nimeisahau jina
Hii haijakaa sawa siku zote walikua wanasubiri nini?pumzika kwa amani Tyson.
Kama kwao ni kisumu obvious ni mjaluo so kwa wajaluo kuchelewa kuzika ni kawaida, wanacheza muziki weeee wanasahau hata kama wamefiwa
Yup ni mjaluo pia hizi mila hata wanigeria wanazo wanaweza kukaa na maiti hata mwezi mmoja au miwili wasizike ref to msiba wa Goldie na Chinua Achebe... hadi raia walishawasahau kudhani wamezikwa
Yup ni mjaluo pia hizi mila hata wanigeria wanazo wanaweza kukaa na maiti hata mwezi mmoja au miwili wasizike ref to msiba wa Goldie na Chinua Achebe... hadi raia walishawasahau kudhani wamezikwa
Monalisa mbona simuoni???
Alirud dar et mwanae ana mtihan wa daras la saba
Teh mtihani wa la saba June???? Kwani ye si mke halali si alitakiwa aweke udongo... btw hivi alifika hadi Kisumu au aliishia Naii...?
nini nairobi?? Had kwenye msiba walikuwepo yeye, mama yake na mtoto wake, nasikia walikuwa hawalali msiban, walikuwa wanalala hotelin ila hasubuh wanashinda msiban
Wakenya huwa wanachelewa sana kuzika,I wonder why