Hiii na iwafkie wanyanyasaj woteVyoote Kama watakavoacha wajimwambafy,yooote ni bure ni kuukimbiza upepo,upige risasi watu,uwabambike,utoe maagizo,ulaze watu ndani,uuwe at the end ni bure sawa na kujipa stress tu vitapita
Sababu alipiga makofi mbunge wa ccm aliposema wapinzani (zitto) wauwaweChadema watafurahi sasa maana walimwandama sana kwa kupiga makofi bungeni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yale mafunzo ya dini ya kiislamu ya kulikumbuka kaburi au kuyapalilia makaburi ni tiba tosha ya kutibu tabia za kujimwambafy na kujiona ni bure kabisa si lolote si chochoteHiii na iwafkie wanyanyasaj wote
Wenye mamlaka yao hasa Hawa kuitwa
Police na viongoz wao wajue kuna
Kitu inaitwa kifokifo hakutawazaza
god is good
Duu kama ni kweli basi duniani hapa kweli tunapita.r.i.p