Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Gwiji la muziki wa mahadhi ya pwani Juma Bhalo kafariki jana baada ya kuugua muda mrefu maradhi ya moyo
Marehemu alikuwa ni mwenyeji wa Mombasa nchini Kenya na alitikisa vilivyo kwenye mziki wa taarabu nchini mwake ,Africa mashariki na hata ulaya
R.I.P JUMA BHALO
Marehemu alikuwa ni mwenyeji wa Mombasa nchini Kenya na alitikisa vilivyo kwenye mziki wa taarabu nchini mwake ,Africa mashariki na hata ulaya
R.I.P JUMA BHALO