TANZIA: Hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya wilaya ya Geita amefariki dunia jana jioni

TANZIA: Hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya wilaya ya Geita amefariki dunia jana jioni

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Uongozi wa Mahakama ya Tanzania unasikitika kutangaza kifo cha Mtumishi wake, Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Geita Mhe. Gabriel Nimrod Kurwijila kilichotekea jana jioni tarehe 3/5/2020 katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando Mwanza alikokuwa akipatiwa matibabu.

Hakimu.jpg
 
Sorry, hii nayo ni habari?
Unakumbuka kuna kipindi Tz kulikua na habari za ajali kila siku? It was weird, kila baada ya muda ni update ya habari juu ya ajali. Wakikosa ajali ilikua unaletewa takwimu za ajali au hata ajali ya bajaji na pikipiki.

Nahisi na kwenye Tanzia ndipo tulipofikia. So hii siyo habari as ikitokea kafa mtu maarufu saa hii ambaye tunajua maisha yake japo kidogo huu uzi utakua ditched.
 
naona kama watanzania wameanza kushangilia mambo ya tanzia kwa sasa sijui tunamkomoa nani, ila yote kwa yote pole kwa wafiwa ndugu jamaa na marafiki popote pale walipo waliofikwa na msiba huu.
 
Watanzania Wengi ni wajinga hasa wa Chadema wanakesha mtandaoni wamesubiria mtu afariki
 
Resiti ini pisi,tunakuja huku huko pia, mpe hai Pirato ukikutana naye
 
Je, Kafariki kwa tatizo jipya la sasa la Kupumua au Kifo tu cha Asili ( Siku imewadia ) au Kimetokana na Mgeni kutokea China?
Upumuaji mkuu
 
Back
Top Bottom