Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,395
- 25,049
Unataka kusemaje[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Atazikwa mchana??
Rip
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kusemaje[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Atazikwa mchana??
Rip
Amen, hasa mama yetu, mama ana busara na hekima kwa kiwango Kikubwa mno.R.I.P. Sasa wiki ndo imeanza sijui nani atafuata pale mjengoni. Mungu mlinde Mama Samia na Majaliwa.
Watanzania Wengi ni wajinga hasa wa Chadema wanakesha mtandaoni wamesubiria mtu afariki
Finally, umekiri kuwa Watanzania wengi ni wajinga. Lakini muda mwingi unaoutumia hapa huwa unajitahidi kuwaaminisha watu kuwa Watanzania wengi wanamuunga mkono Magufuli; so what does that mean?
Wanaomuunga mkono Magufuli ni WAJINGA.
😅😅 mother acha basi😅😅😅Atazikwa mchana??
Rip
Au mfukizo umempalia au?🤷 Ulietoa uzi sema vizuri basiJe, Kafariki kwa tatizo jipya la sasa la Kupumua au Kifo tu cha Asili ( Siku imewadia ) au Kimetokana na Mgeni kutokea China?
Nimesema mashabiki wa Chadema ni wajinga hawajitambui
Wapo km nyumbu
Amen, hasa mama yetu, mama ana busara na hekima kwa kiwango Kikubwa mno.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa hujatumia AKILI uliyobarikiwa na Muumba bali umetumia Akili ya SHETANIWatanzania Wengi ni wajinga hasa wa Chadema wanakesha mtandaoni wamesubiria mtu afariki
😅😅😅😅 umewaza kweli mkuu
Kazi yako kuu ni kutetea matendo ya SHETANI sio?Nimesema mashabiki wa Chadema ni wajinga hawajitambui
Wapo km nyumbu
Amlinde na mheshimiwa Rais bwana, usimtenge mzee!!R.I.P. Sasa wiki ndo imeanza sijui nani atafuata pale mjengoni. Mungu mlinde Mama Samia na Majaliwa.
Chato imo ndani ya Geita ila tena Geita imo ndani ya Chato (awamu ya TAnO)
Mahakama ya Tanzania inatangaza msiba wa mtumishi wake
View attachment 1439419
Ombea wote mkuu, hata Ndugai aombewe Mungu hapendi kifo cha mwenye dhambi hadi atubuR.I.P. Sasa wiki ndo imeanza sijui nani atafuata pale mjengoni. Mungu mlinde Mama Samia na Majaliwa.
Changamoto ya kushindwa kupumua