Tanzia iliyochelewa: Dkt. Edith Kitambi

Apumzike Kwa Amani Dada Edith.
Shikamoo Mzee wangu.Niliamua Tu kukuchokoza nipate upande mwingine wa shilingi😁. Binafsi Mimi ni miongoni mwa wasomaji wa kila sentesi unayoandika.Kwangu Mimi nakuchukulia kama encyclopedia.Nimejifunza mengi Sana kutoka kwako,umenifanya nikaipenda JF.
swali langu kwako...
Nini Siri ya kuishi Maisha marefu yenye kila Aina ya exposure na still uko down to earth!?
 
Red...
Mkorofi sana wewe mtu.

Toka asubuhi wewe wa kwanza kunichekesha.

Hii exposure na umri nadhani ni majaaliwa ya Mwenyezi Mungu.

Hakika wenzangu wengi wamenitangulia.
 
Pole sana kwa msiba wa mtu wako wa karibu uliyemfahamu enzi za uhai wake.
 
Pole sana kwa msiba wa mtu wako wa karibu uliyemfahamu enzi za uhai wake.
 
Thanks mkuu
 
Naomba kujua uhusiano wa mwanamuziki dully sykes na hiyo familia ya wapigania uhuru.
 
Naomba kujua uhusiano wa mwanamuziki dully sykes na hiyo familia ya wapigania uhuru.
Super..
Dully ni Abdulwahid Ebrahim (Ebby) Abdulwahid Kleist Sykes.

Mjukuu wa Abdul Sykes.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…