Yani mshiko wote ameshindwa kupata mtoto mzuri kuliko Zari
Kawaida ya mala... ndivyo mlivyo na madonda ndg yenuNdio watu wajifunze kuthamini walivyonavyo...alivyokua anamnyanyasa alijua hawez kuachwaa...mtt wa kimanyema akamuonjesha huba
Tetesi: - LIES, INTRIGUE, BETRAYAL:HOW IVAN SSEMWANGA LIVED OUT HIS LAST DAYS ON EARTH?Huo mdomo mbona kama mwekundu sana alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa gani
Girls[emoji122] [emoji122] [emoji122]Who run the world.
Miaka mingapi imepita tangu waachaneKumuelewasha mpumbavu ni kazi kubwa sana anasema kwa kawaida mioyo yetu una tofauti kuna wenye kuvumilia lkn kunawasio na uvumilivu.
sio kweli.Wanaume huwa wanatamani wanapomuacha mwanamke asipate mwingine wakumjali na kumthamini,sasa ikitokea umepata mwingine lazima achanganyikiwe au afee kabisa.