TANZIA: Ivan Ssemwanga (ex wa Zari) amefariki dunia usiku huu

TANZIA: Ivan Ssemwanga (ex wa Zari) amefariki dunia usiku huu

Bora hata ungekuwa labda umewafahamu na ulikuwa karibu nao ukaandika kama haya... ila kwasababu umeamua basi ungeita hii ni hadithi tu na wengi wamefikiria pia mengine uliyoyaandika.

Mola amempenda zaidi.
 
9e7ac293-0bdf-46c6-83ab-df6f8ce9d691.jpg
 
Hapa Babayake akisema kwa uchungu na anasema mwanae kafa kwa msongo wamawazo ambao amekaa nao kwa miaka 4 tangu zari aondoke!alifikia mahali hawezi kufanya mambo kama mzazi sababu ya mawazo.
 

Attachments

RIP Ivan! Pole wafiwa! Mola awatunze watoto wako watatu!
 
Hivi unapata wapi ujasiri wa kuandika haya?!mwanaume mzima unamtuhumu mtu kusababisha kifo?!wewe unawafahamu hawa watu kiundani kweli au unawaona tu kwenye mitandao ya kijamii kama tunavyowaona sisi?!

Kwa taarifa yako huo ugonjwa wa Presha ni ugonjwa wa ukoo wa akina Ivan,baba yake na mama yake wote wamekufa kwa BP,hebu tujifunze kukaa kimya jamani kama hatujui kitu,sio kila linalokujia kichwani basi na wewe unataka uliseme,mengine hayapendezi abadani unaonekana kituko
 
Nasema haya kutokana na sababu nitakazo zihainisha hapa chini ila ukweli kifo cha Ivan Semwanga chanzo chake nimapenzi sababu kuu ni Zari!
Ukiangalia tangu waachane na Zari Ivan hakuikubali ile hali na alijitahidi kumbembeleza Zari ila Zari hakutaka!
Na Ivan alitegemea Zari angerudi waendelee na maisha! ila baada ya kuzaa na Diamond Ivan alizidi kuishiwa tumaini la kuwa na Zari kwani alimpenda mno!!
f1dbd0bde9f1028cb0efea353f7df2ca.jpg
e9423d9d6a983a0fc2403ea78aad2ea9.jpg
bd0818ff6c03ba4e88094d6b44d624bc.jpg
ff1baf9bd030eafc8a956c069aaf1b22.jpg
e48bbcc8d2d62587134f9802e9e63bd8.jpg

Katika hizi picha alikuwa akituma ujumbe kwa Zari! Rudi mama kama pesa ipo huku!pia ukumbuke Diamond alipost kuwa amenunua Hammer kesho naye aaapost ana Hammer3 hii yote nikuwa alimpenda sana Zari!

Pia katika kuachana Ivan hakuwahi kupost picha yoyote akiwa na mwanamke! aliamini hakuna mwanamke wakumchallenge Zari hivyo hakuona sababu yakujidhalilisha kwani alijua Zari ni mzuri sana, hivyo hakaona ajipe muda!na alitamani arudi ila maamuzi haya, hayakuwa upande wake!! kwani Zari alishamchoka!. Hivyo umauti huo umetokana na msongo mkubwa wa mawazo!. Nina hakika Mungu akimfungulia Zari kutafakari juu ya kifo cha Ivan atatambua yeye ndiye aliyesababisha!

Mara nyingi tukiwa katika mahusiano ya muda mrefu hutokea tunachokana na kutamani yavunjike hata kama tunawatoto!kutokana na maudhi madogo madogo!ila ujidanganya nakusema bora tuachane ila wakiondoka! baada ya wiki utamani kuwarudisha ila mara nyingi uogopa watu watanionaje!!mbaya wakienda ambapo hatuwezi kuwaona tena kama kufariki basi hapo ndipo huwa tunapatwa msongo wa mawazo!! na hasa kama wametuachia watoto!.

Taadhari ikikutokea usijixhanganye katika pombe tumia muda kukaa na familia na kuwa busy na watoto baada ya muda tafuta mwenza japo atakuwa halingani na yule na nivigumu kumpata kama yule!na mhalalishe mbele ya familia yako ili upate muda wakukaa naye ndani kuliko kutumia muda mkiwa hotelini!maana ukirudi kitandani kwako hali itaanza upya!

Hivyo nirudi katika mada kifo cha Ivan Semwanga kimesababishwa na msongo wa mawazo ya mapenzi juu ya Zari.
Uko sahihi'
, Ata baba mzazi wa ivan amethibitisha ilo kwa kusema ivan alikuwa na depresion ya kuondoka kwa zari kwenda kwa daimond. Stress ndizo zilizokawa zinamsumbua alikuwa anashindwa ata kumsikiliza baba ake wakt anamshaur lkn yoteee hiii ni mapenzi kwa zari... kuna kipind diamond alikuwa anazungumzia anataka nunua rolls royce siku ya pili ivan akawa anaitumia hio gari na hii ilikuwa ni kweli kumwonesha zariii. Naunga mkono hoja mapenzi mabaya sana
 
RIP
u BOSSLADY MASHAKANI MWACHENI ZARI APIGANIE URITHI,AKIRUDI MADALE YULE MAMA ANAMSUBIRI KWA HAMU kwel kwel
kiukweli huyo Ivan alikua anasimamia show watoto hao 2 Zari kaleta ndani kama wanae bila kinyongo.
sasa majukumu yote yakimwangukia ndg yetu hapooo,na shughuli zenyewe hizi,mwanamke ni huyo bosslady.dogo nae ajiandae tu kwa heart attack.

picha hili stering kafa location.
 
Back
Top Bottom