TANZIA: Ivan Ssemwanga (ex wa Zari) amefariki dunia usiku huu

TANZIA: Ivan Ssemwanga (ex wa Zari) amefariki dunia usiku huu

Hivi unapata wapi ujasiri wa kuandika haya?!mwanaume mzima unamtuhumu mtu kusababisha kifo?!wewe unawafahamu hawa watu kiundani kweli au unawaona tu kwenye mitandao ya kijamii kama tunavyowaona sisi?!

Kwa taarifa yako huo ugonjwa wa Presha ni ugonjwa wa ukoo wa akina Ivan,baba yake na mama yake wote wamekufa kwa BP,hebu tujifunze kukaa kimya jamani kama hatujui kitu,sio kila linalokujia kichwani basi na wewe unataka uliseme,mengine hayapendezi abadani unaonekana kituko
We umejuaje yote hayo? Mmbea kama wadada wa saluni
 
Uko sahihi'
, Ata baba mzazi wa ivan amethibitisha ilo kwa kusema ivan alikuwa na depresion ya kuondoka kwa zari kwenda kwa daimond. Stress ndizo zilizokawa zinamsumbua alikuwa anashindwa ata kumsikiliza baba ake wakt anamshaur lkn yoteee hiii ni mapenzi kwa zari... kuna kipind diamond alikuwa anazungumzia anataka nunua rolls royce siku ya pili ivan akawa anaitumia hio gari na hii ilikuwa ni kweli kumwonesha zariii. Naunga mkono hoja mapenzi mabaya sana
Huyo ni baba mdogo tu wa Ivan,Ivan alishazika wazazi wote wawili,na BP ndio ugonjwa unaowaua kwenye ukoo wao
 
Mwenye Enzi Mungu awalinde watoto wake!
 
kuna kitu behind,maana kipindi hii zari yupo south mara ghafla ivan mgonjwa,mi nilijua hachomoki pale hospitali,sijasema kamroga ila tu inawezekana alimstress kinamna mpk huyu jamaa kupandisha presha.

kingine msg ya zari ku announce msiba ya kawaida saaana,yaani ni kama alijua,alitegemea,alitaka iwe hivyo.

sasa likija swala bandugu waingilie kati kusimamia mali mpk watoto wakue,tutamkuta zari kwenye vigodoro na mkwe kendrah.

Mpk mwisho Ivan alikua anatoa huduma zote kwa huyu mwanamke no matter what,diamond kapigwa lift sana tu.
kuna kipindi diamond alitoa kashfa kwa IVAN,JAMAA AKAPIGA CHINI HUDUMA ZOTE.
Zari alienda kuomba poo kiganda kwa jamaa arudishe moyo,kwamba huyu msaanii kaongea tu hakumlenga Ivan.
 
Nasema haya kutokana na sababu nitakazo zihainisha hapa chini ila ukweli kifo cha Ivan Semwanga chanzo chake nimapenzi sababu kuu ni Zari!
Ukiangalia tangu waachane na Zari Ivan hakuikubali ile hali na alijitahidi kumbembeleza Zari ila Zari hakutaka!
Na Ivan alitegemea Zari angerudi waendelee na maisha! ila baada ya kuzaa na Diamond Ivan alizidi kuishiwa tumaini la kuwa na Zari kwani alimpenda mno!!
f1dbd0bde9f1028cb0efea353f7df2ca.jpg
e9423d9d6a983a0fc2403ea78aad2ea9.jpg
bd0818ff6c03ba4e88094d6b44d624bc.jpg
ff1baf9bd030eafc8a956c069aaf1b22.jpg
e48bbcc8d2d62587134f9802e9e63bd8.jpg

Katika hizi picha alikuwa akituma ujumbe kwa Zari! Rudi mama kama pesa ipo huku!pia ukumbuke Diamond alipost kuwa amenunua Hammer kesho naye aaapost ana Hammer3 hii yote nikuwa alimpenda sana Zari!

Pia katika kuachana Ivan hakuwahi kupost picha yoyote akiwa na mwanamke! aliamini hakuna mwanamke wakumchallenge Zari hivyo hakuona sababu yakujidhalilisha kwani alijua Zari ni mzuri sana, hivyo hakaona ajipe muda!na alitamani arudi ila maamuzi haya, hayakuwa upande wake!! kwani Zari alishamchoka!. Hivyo umauti huo umetokana na msongo mkubwa wa mawazo!. Nina hakika Mungu akimfungulia Zari kutafakari juu ya kifo cha Ivan atatambua yeye ndiye aliyesababisha!

Mara nyingi tukiwa katika mahusiano ya muda mrefu hutokea tunachokana na kutamani yavunjike hata kama tunawatoto!kutokana na maudhi madogo madogo!ila ujidanganya nakusema bora tuachane ila wakiondoka! baada ya wiki utamani kuwarudisha ila mara nyingi uogopa watu watanionaje!!mbaya wakienda ambapo hatuwezi kuwaona tena kama kufariki basi hapo ndipo huwa tunapatwa msongo wa mawazo!! na hasa kama wametuachia watoto!.

Taadhari ikikutokea usijixhanganye katika pombe tumia muda kukaa na familia na kuwa busy na watoto baada ya muda tafuta mwenza japo atakuwa halingani na yule na nivigumu kumpata kama yule!na mhalalishe mbele ya familia yako ili upate muda wakukaa naye ndani kuliko kutumia muda mkiwa hotelini!maana ukirudi kitandani kwako hali itaanza upya!

Hivyo nirudi katika mada kifo cha Ivan Semwanga kimesababishwa na msongo wa mawazo ya mapenzi juu ya Zari.

Labda pia namna ya ku control miili inaweza kusawjisha uwiano wa misukumo ya damu miilini!. Sijui, ninajaribu kusema tu kwa kuona mwili wa marehemu na unene wake kama inaweza pia kuchangia katika kumdhoofisha.

Nani ajuaye, kikubwa Mungu Aturehemu.
 
Ndio watu wajifunze kuthamini walivyonavyo...alivyokua anamnyanyasa alijua hawez kuachwaa...mtt wa kimanyema akamuonjesha huba
 
Uko sahihi'
, Ata baba mzazi wa ivan amethibitisha ilo kwa kusema ivan alikuwa na depresion ya kuondoka kwa zari kwenda kwa daimond. Stress ndizo zilizokawa zinamsumbua alikuwa anashindwa ata kumsikiliza baba ake wakt anamshaur lkn yoteee hiii ni mapenzi kwa zari... kuna kipind diamond alikuwa anazungumzia anataka nunua rolls royce siku ya pili ivan akawa anaitumia hio gari na hii ilikuwa ni kweli kumwonesha zariii. Naunga mkono hoja mapenzi mabaya sana
Yule sio baba yake.
 
Nasema haya kutokana na sababu nitakazo zihainisha hapa chini ila ukweli kifo cha Ivan Semwanga chanzo chake nimapenzi sababu kuu ni Zari!
Ukiangalia tangu waachane na Zari Ivan hakuikubali ile hali na alijitahidi kumbembeleza Zari ila Zari hakutaka!
Na Ivan alitegemea Zari angerudi waendelee na maisha! ila baada ya kuzaa na Diamond Ivan alizidi kuishiwa tumaini la kuwa na Zari kwani alimpenda mno!!
f1dbd0bde9f1028cb0efea353f7df2ca.jpg
e9423d9d6a983a0fc2403ea78aad2ea9.jpg
bd0818ff6c03ba4e88094d6b44d624bc.jpg
ff1baf9bd030eafc8a956c069aaf1b22.jpg
e48bbcc8d2d62587134f9802e9e63bd8.jpg

Katika hizi picha alikuwa akituma ujumbe kwa Zari! Rudi mama kama pesa ipo huku!pia ukumbuke Diamond alipost kuwa amenunua Hammer kesho naye aaapost ana Hammer3 hii yote nikuwa alimpenda sana Zari!

Pia katika kuachana Ivan hakuwahi kupost picha yoyote akiwa na mwanamke! aliamini hakuna mwanamke wakumchallenge Zari hivyo hakuona sababu yakujidhalilisha kwani alijua Zari ni mzuri sana, hivyo hakaona ajipe muda!na alitamani arudi ila maamuzi haya, hayakuwa upande wake!! kwani Zari alishamchoka!. Hivyo umauti huo umetokana na msongo mkubwa wa mawazo!. Nina hakika Mungu akimfungulia Zari kutafakari juu ya kifo cha Ivan atatambua yeye ndiye aliyesababisha!

Mara nyingi tukiwa katika mahusiano ya muda mrefu hutokea tunachokana na kutamani yavunjike hata kama tunawatoto!kutokana na maudhi madogo madogo!ila ujidanganya nakusema bora tuachane ila wakiondoka! baada ya wiki utamani kuwarudisha ila mara nyingi uogopa watu watanionaje!!mbaya wakienda ambapo hatuwezi kuwaona tena kama kufariki basi hapo ndipo huwa tunapatwa msongo wa mawazo!! na hasa kama wametuachia watoto!.

Taadhari ikikutokea usijixhanganye katika pombe tumia muda kukaa na familia na kuwa busy na watoto baada ya muda tafuta mwenza japo atakuwa halingani na yule na nivigumu kumpata kama yule!na mhalalishe mbele ya familia yako ili upate muda wakukaa naye ndani kuliko kutumia muda mkiwa hotelini!maana ukirudi kitandani kwako hali itaanza upya!

Hivyo nirudi katika mada kifo cha Ivan Semwanga kimesababishwa na msongo wa mawazo ya mapenzi juu ya Zari.

Kwa hiyo baada ya kuachana na Zari ndio akaanza kunenepeana na mwili kujaa mafuta na kutoka kitambi kilichojaza mafuta? Hiyo ni sayansi ya wapi?
 
Mkuu huyo Zari unaemtetea tayari wanagombania mali na wakwe zake huko, tatizo mnajifanya mnawajua watu kama mnakaa nao kumbe mnawaona kwenye social media.[emoji23][emoji23][emoji23]
Teh teh teh duh.
 
Kuachana ni kawaida.muhimu hawakuachana kwa ubaya. Yaani muanzisha uzi ushaanza kuwaza urithi hata marehemu hajazikwa. Baada ya Ivan kila mtu aliendelea kuwa na mahusiano mengine. Na ukiangalia interview za zari hakuwahi kumsema ubaya sehemu yoyote ile. Na ndio maana juu ya yote walikuwa na karibu. Mambo ya mahusiano huwa sometimes mengine hayavumiliki unaamua the best way ni kutoka. Eti ukae kisa urithi. Alijua jamaa ana hela ila wakaachana.

Wakati mwingine amani ya moyo wako ni muhimu kuliko pesa. Zari hakuwa na amani kwa Ivan japokua pesa ilikuwepo. Aka bet kati ya pesa na furaha ya moyo kipi akichukue? Akachagua furaha na amani ya moyo. Tujifunze, pesa sio kila kitu katika maisha.
 
Wangapi wameachana na hawajafa ebu acha uongo kwahiyo unataka useme Ivan hakuwa na demu
Kumuelewasha mpumbavu ni kazi kubwa sana anasema kwa kawaida mioyo yetu una tofauti kuna wenye kuvumilia lkn kunawasio na uvumilivu.
 
Back
Top Bottom