Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RIP JAJI, ILA UYU SI NDIYE YULE ALICHAKACHUA KURA ZETU KUIPENDELEA CCM??
RIP BAHARIA
Ukishapata chanzo cha kifo uta reverse the process???Hacheni ukuda wa TZ.Apumzike kwa amani.
Chanzo cha kifo
Uaskofu wa Katoliki haugawii Kama post za JiweSiyo pastor,askofu wa catolic church Kama sikosei
😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏Ukishapata chanzo cha kifo uta reverse the process???Hacheni ukuda wa TZ.
... nini hujaelewa Mkuu? Alikuwa mwanajeshi, msomi wa sheria, na muumini wa Kanisa Anglican. Baadaye akaajiriwa na mahakama alikopanda vyeo hadi kufikia ngazi ya Jaji Mkuu. Kanisani nako hakubweteka, alijiongeza akasomea kozi mbalimbali hadi kufikia hatua ya uchungaji na pia mpiga piano mahiri kanisani.Huu mlolongo wa vyeo bado sijauelewa.
From brigedia to jaji mkuu to mchungaji.
Mwenye kunielewasha nitashukuru.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mdau atakuwa anamfananisha na Jaji Lubuva!Acha kumpakazia marehemu huenda ni wewe tu huna kumbukumbu nzuri juu ya hicho ulichokiandika.
... of course "fariki" is reserved in honor of human beings but it is a subset of "kufa". Yeye kaamua kutumia superset. Ni sawa na kujifungua na kuzaa.Kweli wewe ni Mjinga! Mtu huwa anasemwa amefariki, wanaokufa ni wanyama!