Pole sana Kakakiiza na familia yako kwa ujumla Inasikitisha sana mpaka mwili umesisimka kwa wogahaya matatizo ya uzazi jamani mungu atusaidie."Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu. Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa; Hukimbia kama kivuli, wala hakai kamwe."Mungu awape moyo wa subira na ujasiri katika kipindi hiki kigumuAmen.