TANZIA: Kiungo wa zamani mahiri wa Dar Young Africa, Godfrey Bonny afariki dunia

RIP kiungo.
Tuwekeeni picha
Tutajieni alichezea yanga kati ya miaka ipi.
 
DoOh! Pumzika unapostahili Kaka Geofrey Bony.

Nilikuwa navutiwa na uchezaji wako wa kiungo kipindi ulipokuwa Yanga na Taifa Starz.
 
Mungu amlaze pema jamaa,nilisoma sehemu kwamba alikuwa anahitaji msaada wa matibabu sijui aliupata huo msaada kutoka kwa club yake.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…