TANZIA: Kiungo wa zamani mahiri wa Dar Young Africa, Godfrey Bonny afariki dunia

TANZIA: Kiungo wa zamani mahiri wa Dar Young Africa, Godfrey Bonny afariki dunia

apumzike kwa amani,namkumbuka vizuri mechi moja kati ya Tanzania Prisons na Police Dodoma uwanja waJamhuri Dodoma Alicheza vizuri sana na kumiliki sehemu ya kiungo
 
Hivi nyie mmnaoandika RIP, mnaijuwa maana yake? Pateni darsa dogo:

RIP ni kumtakia apumzishwe kwenye amani. Cha kushangaza! Kwanini hamuitaki hiyo amani mkiwa hai?

Peace = Salaam = Islam.

Ingieni kwenye amani na jisalimisheni kwa mola wenu mkiwa hai, si muombeane kuingia kwenye Uislam mkifa.


Alazwe popote anapostahili. Poleni wafiwa, poleni wana michezo, poleni Yanga.


duh teh teh, anyway tumekusikia
 
Pole Yanga, family na wapenzi wote .
Tuna wakati mgumu Mwenyekiti na sasa G Bonny. (R I P)
 
Hivi nyie mmnaoandika RIP, mnaijuwa maana yake? Pateni darsa dogo:

RIP ni kumtakia apumzishwe kwenye amani. Cha kushangaza! Kwanini hamuitaki hiyo amani mkiwa hai?

Peace = Salaam = Islam.

Ingieni kwenye amani na jisalimisheni kwa mola wenu mkiwa hai, si muombeane kuingia kwenye Uislam mkifa.


Alazwe popote anapostahili. Poleni wafiwa, poleni wana michezo, poleni Yanga.
Umeiunga supu [emoji85] [emoji87]
 
Hivi nyie mmnaoandika RIP, mnaijuwa maana yake? Pateni darsa dogo:

RIP ni kumtakia apumzishwe kwenye amani. Cha kushangaza! Kwanini hamuitaki hiyo amani mkiwa hai?

Peace = Salaam = Islam.

Ingieni kwenye amani na jisalimisheni kwa mola wenu mkiwa hai, si muombeane kuingia kwenye Uislam mkifa.


Alazwe popote anapostahili. Poleni wafiwa, poleni wana michezo, poleni Yanga.
Rainaaa mkubwa wewe
Islam = total submission.
Word Islam has nothing to do with the state of "peace"
Shetani ndiye baba wa Uwongo na waongo ni watoto wa shetani.
 
Nyie Yanga Mungu anawaona,, mdogo wetu kaanza kuugua huku Tukuyu nyie mmeuchuna kimya tu hadi umauti unampata,,

Haya bhana ,,KYALA IKUBABONA UMWE MWE BHA YANGA. Mungu Ailaze mahali pema peponi Roho yake .
 
Hivi nyie mmnaoandika RIP, mnaijuwa maana yake? Pateni darsa dogo:

RIP ni kumtakia apumzishwe kwenye amani. Cha kushangaza! Kwanini hamuitaki hiyo amani mkiwa hai?

Peace = Salaam = Islam.

Ingieni kwenye amani na jisalimisheni kwa mola wenu mkiwa hai, si muombeane kuingia kwenye Uislam mkifa.


Alazwe popote anapostahili. Poleni wafiwa, poleni wana michezo, poleni Yanga.
Sawa.
 
Mungu pekee ndio anaejua wapi atamlaza mja wake..
 
Back
Top Bottom