TANZIA: Kiungo wa zamani mahiri wa Dar Young Africa, Godfrey Bonny afariki dunia

siyajui kwani vipi mbona maswali mengi
Mi mdau wa pale sijawahi sikia timu inaitwa hotboys, sana sana ilikiwepo homeboys. Ndo maana nkauliza. Then ukasema "kabla hajaanza mambo yenu" ndo nikataka tu kuyajua.
 
Mi mdau wa pale sijawahi sikia timu inaitwa hotboys, sana sana ilikiwepo homeboys. Ndo maana nkauliza. Then ukasema "kabla hajaanza mambo yenu" ndo nikataka tu kuyajua.
ok home boys ilikua team ya wakubwa bagamoyo. hizi zilikua team za watoto kati ya 94 na 95.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…