Hivi yule ana machungu kweli ? Si Kwa show off zile huku mama yake yupo ICU.Masikini Zari 2017 ni mwaka mchungu sana kwake.
jamani.kafara linadai sio?Diamond jiandae na wewe. Labda uachane na Zari. Chukua hatua.
Matatizo ya kudate kitoy boy, hataki kuonesha public kuwa issue ya Daily na Hamisa inamnyima usingizi.Hivi yule ana machungu kweli ? Si Kwa show off zile huku mama yake yupo ICU.
Wabongo sasa?Daimond chukua hatua, ingawa umbali hausaidi kukiepuka kikombe.
Utasababisha watu wapambanishe na journey ya kanumba.
Ni kitu kzuri sana sababu alikuwa ana distrub ecosystems so kufa kwakwe kumesababisha balance of natureMngh! Kifo ni jambo baya sana
Em tuambie ungekuwa wewe ungefanyaje na una mkataba?lazima atapiga show si hana haya uyu jamaa
Mbuye nzuri ina changamoto za kutosha.
mimba haina shida ni mwanaume.ila mama mkwe yupo icu unafanya maparty hata kwenda kumuona huendi.madale wana roho ya ajabu kwa kweli
Tarehe mbaya uwezi zika na ukarundi kupiga showWaislam hao, anazikwa leo au kesho.