TANZIA: Mama mzazi wa Zarina Hassan(Zari the Bosslady) afariki dunia

TANZIA: Mama mzazi wa Zarina Hassan(Zari the Bosslady) afariki dunia

Maskini tu kuna video zari anakatika eti anaondoa stress kumbe mama alikuwa mgonjwa??
Rip
 
Mnamwonea zari huruma?
Zari alipost snap akiwa hospital kwamba "ni vigumu kupata usingizi ukijua kwamba muda wowote mashine itazima" maana yake mama yake alikuwa kwenye life support na walishaambiwa kwamba hawezi kupona...
Sasa kama ni kama vile tayari msiba ulishamfika lakini akapata nguvu kukata mauno na kurecodi na kupost inawezekanaje kwamba ameumia kifo cha mama yake??
Labla tunatofautiana mila na Waganda.
Ila Mimi siwezi kumpa pole hata kidogo ila nasema MUNGU AMPE PUMZIKO LA MILELE MAMA ..
 
Mnamwonea zari huruma?
Zari alipost snap akiwa hospital kwamba "ni vigumu kupata usingizi ukijua kwamba muda wowote mashine itazima" maana yake mama yake alikuwa kwenye life support na walishaambiwa kwamba hawezi kupona...
Sasa kama ni kama vile tayari msiba ulishamfika lakini akapata nguvu kukata mauno na kurecodi na kupost inawezekanaje kwamba ameumia kifo cha mama yake??
Labla tunatofautiana mila na Waganda.
Ila Mimi siwezi kumpa pole hata kidogo ila nasema MUNGU AMPE PUMZIKO LA MILELE MAMA ..
Sawa Hamisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
20184933_129765024297771_6803911427376545792_n.jpg
20184592_499748187035018_8904878719840026624_n.jpg
20181380_1251842291611002_5742854634666459136_n.jpg
20184931_443919779323419_6998630001738252288_n.jpg
 
Tunaweza kusahau uwepo wake wewe hutaweza Tunakutakia wepesi Katika hili

KANISA LA KRISTO
 
Diamond akizungumza na baba yake zari msibani
20180571_250070698832499_5125756216068276224_n.jpg
 
Mnamwonea zari huruma?
Zari alipost snap akiwa hospital kwamba "ni vigumu kupata usingizi ukijua kwamba muda wowote mashine itazima" maana yake mama yake alikuwa kwenye life support na walishaambiwa kwamba hawezi kupona...
Sasa kama ni kama vile tayari msiba ulishamfika lakini akapata nguvu kukata mauno na kurecodi na kupost inawezekanaje kwamba ameumia kifo cha mama yake??
Labla tunatofautiana mila na Waganda.
Ila Mimi siwezi kumpa pole hata kidogo ila nasema MUNGU AMPE PUMZIKO LA MILELE MAMA ..
Kweli bongo nyoso..full Wajuaji, wahenga, wachawiiii... Daah..
 
Back
Top Bottom