Tanzia: Mama wa Tupac (Afeni Shakur) afariki dunia

Tanzia: Mama wa Tupac (Afeni Shakur) afariki dunia

Wamama wapiganaji kama huyu mama wakifa nasikitika sana.

Mama pumzika kwa amani.
 
Apumzike kwa amani ,Ama kweli kizazi chake kilitoa mwanaume
hakika apumzike kwa amani mama. 2pac was strong man namkubali san huyu kijana na ideas zake.
ule wimbo wa dear mama napendea
there is no way i can pay you back but. my plan is to make you undestand, appreciated.
 
"A poor single mother on welfare, tell me how you did it"

Rest in Peace, Afeni Shakur

46c825501aff2350d09a52112dae4c19.jpg


b552ec5576fb84f9d8ed16aa81325b79.jpg


ad2c91773c5d451165010835ce985cd1.jpg


6f4c48e399adef7f649d161625a9f57f.jpg


a71d9b7acfbfdd1c5b9a078fbab45127.jpg


579accecd91bdec1217871f49cbc4595.jpg


95b9bb4eab9ffceafbb79237cf3f2511.jpg


efde04bb385e424ee86efbf8fc06c771.jpg
Mkaonane Na mwanao sasa kwenye pumziko la milele
 
".... He passed away and I didn't cry cause my anger wouldn't let me feel for a stranger"...
Haka kasehemu ka wimbo nako huwa kananikosha
Swadakta maneno yako jamaa alikuwa akitulia anatoa kitu ila wakiisha mchanganya mambo west side na east side hapo ilikuwa balaa f..f..f... zinakuwa nyingiii
 
Swadakta maneno yako jamaa alikuwa akitulia anatoa kitu ila wakiisha mchanganya mambo west side na east side hapo ilikuwa balaa f..f..f... zinakuwa nyingiii
Aisee umenikumbusha, hizo f...f...f... zilikuwa ni noma; kuna ule wimbo ambao hizo f's ndio zilikuwa kama kibwagizo😉
 
"Cause when i was low you were there for me AND you never left me alone cause your cared for me." RIP
 
I hung around with the Thugs, and even though they sold drugs
They showed a young brother love - 2pac
 
Back
Top Bottom