Huyo jamaa alionwa na superspot utd ya south afrika kwenye kagame flani ilifanyika rwanda kama sikosei. Jamaa wakataka kumchukua moja kwa moja bila kufanya majaribio! Bangi hizi jamaa akagoma kwa kuwa wale jamaa walikua na shida sana ya kiungo simba wakawapa matola ambaye alikua tayari umri ushaenda na majeruhi kibao. Ilikuaje akaitosa ile nafasi? Inasikitisha sana na mnapoona watu hawakumpa sapoti kubwa kwenye matatizo yake wala msilaumu sana alikatisha sana tamaa watu. Alikua na uwezo mkubwa sana jamaa na zile rasta dah ilikua anatazamika vzr sana kwenye dimba lkn ndio hivyo tena!..