Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio kwa kujitakia kama unapenda sana milupo bila kinga,lazima TB uipate
Ndio kwa kujitakia kama unapenda sana milupo bila kinga,lazima TB uipate
Huyo jamaa alionwa na superspot utd ya south afrika kwenye kagame flani ilifanyika rwanda kama sikosei. Jamaa wakataka kumchukua moja kwa moja bila kufanya majaribio! Bangi hizi jamaa akagoma kwa kuwa wale jamaa walikua na shida sana ya kiungo simba wakawapa matola ambaye alikua tayari umri ushaenda na majeruhi kibao. Ilikuaje akaitosa ile nafasi? Inasikitisha sana na mnapoona watu hawakumpa sapoti kubwa kwenye matatizo yake wala msilaumu sana alikatisha sana tamaa watu. Alikua na uwezo mkubwa sana jamaa na zile rasta dah ilikua anatazamika vzr sana kwenye dimba lkn ndio hivyo tena!..
RIP massawe,TB inamaliza watu kwa kweli,tubadilike tabia
Watu wamekula GOOD TIME enzi zao na warembo wa kila aina bt kipind cha matatizo wanakimbilia kwa WAZAZI WAO kuwaongezea mzigo
Ndio kwa kujitakia kama unapenda sana milupo bila kinga,lazima TB uipate