TANZIA: Mchezaji wa zamani wa Simba, Christopher Alex Massawe afariki dunia


Amina mkuu, tatizo jukwaa limevamiwa na wanafunzi ambao hawajui maisha ni nini. Kila cku tunasikia malalamiko humu, mara nguvu za kiume, mara nimesalitiwa, halafu lo wanajifanya wamepona ukimwi! Ndo maana tunasali na kumlilia Mungu kila mtu kwa imani yake ili atuepushe na dhahama za dunia hii, na mojawapo ni magonjwa. Kulingana na style yetu ya maisha kuna magonjwa mengi tu yanaweza kutupata na hayana tiba tena makali kuliko huo mf. Kisukari, stroke, kansa, figo, ini n.k haya pia ni magonjwa hatari, ni mara ngapi hatufwati kanuni za kiafya na vyakula? Lkn hawaoni km Mungu anaturehemu? Hvyo ni swala la sisi kumuomba mungu usiku na mchana atupe afya njema na Mungu pekee ndo anaweza kuthubu kuzungimza kauli km zile na co cc wanadam ambao hatujui km kesho tutafika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…