TANZIA: Mchezaji wa zamani wa Simba, Christopher Alex Massawe afariki dunia

TANZIA: Mchezaji wa zamani wa Simba, Christopher Alex Massawe afariki dunia

Daaah! Huyu si ni yule mchezaji aliyetoka timu ya simba ya under 20 then akapanda timu ya wakubwa?

Hapana,Christopher Alex alicheza kwenye ile Simba iliyoitoa Zamalek na yeye ndo aliyepiga penati ya mwisho ya ushindi,usimchanganye na Christopher Edward
 
Hapana,Christopher Alex alicheza kwenye ile Simba iliyoitoa Zamalek na yeye ndo aliyepiga penati ya mwisho ya ushindi,usimchanganye na Christopher Edward

Ok asante kwa kunielewesha nilikuwa nishamchanganya na Christopher Edward
 
Poleni wafiwa. Ila picha hizo mbili zinaongea mengi. RIP CA.
 
Enzi zile yupo CDA na akina Pawasa tulikuwa tunamwita Mdunya.Alikuwa bonge la mshambuliaji na baadae Simba akawa bonge la beki.RIP Mdunya
 
Huu ugonjwa wa TB

INABIDI TUUANZISHIE KAMPENI

UKIKOHOA WIKI MBILI ZAIDI NI DALILI ZA AWALI ZA

KIFUA KIKUU

NENDA KAPIME MAKOHOZI

STOP TB
 
Rest In Eternal Peace Brother,uluchangia sana nguvu zako katika kuitumika timu ya Simba lakini wao walikutupa katika mateso ya dunia,mungu wetu ni mwenye huruma na rehema hakika atakupumzisha unapostahili.Amen

Marehemu alitakiwa kusaidiwa na wadau wote wa soka na si kuibebesha simba lawama ambazo si zao!mkataba na simba ulishakwisha,jiulize wewe kama mdau ulimsaidiaje marehemu!
 
Back
Top Bottom