Chief Ortambo Ikumenye
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 247
- 503
Waliokuja juzi mjini hawawezi kumfaham huyu.. Hapa ndo watoto wa daslam wanapochukua ujiko..
R.I.P Bro
R.I.P Bro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo pale ilipokuwa Club ya Lady Jaydee Jirani King Solomon Hall Nyuma ya Best Bite.Club legends iko wapi?
May he RIP
Kwenye location za bata huwa nakuaminia sana.Ipo pale ilipokuwa Club ya Lady Jaydee Jirani King Solomon Hall Nyuma ya Best Bite.
Wa mda sana!huyu..unamjua??
Unawafahamu kwelikweli maDJs. Hivi DJ Lover yupo wapi?Too Sad ....mimi nimemfahamu 90s enzi za Bills akiwa sehemu ya kundi la madj waliojiita The Powerful 4 (nguvu 4) waliotikisa nchi kisawasawa akiwa na DJ JD, DJ HABIB na DJ G Lover ....alikuwa anajua kupiga aina nyingi za muziki kama House, R&B , Hiphop,oldies na hata Bolingo ....ni moja ya djs wanaojua kutumia mic na kuongea kiingereza fasaha ....amefanya kazi East Africa Radio kwa muda mrefu kabla hajaamua kudeal na issues zingine ....nilikuwa nakutana nae mara nyingi Triple 7 alipokuwa anapiga .....pumzika kwa amani brother ....
..respect!Wa mda sana!huyu
Nimecheka sana. Jamaa yuko vizuri location za kula kuku mjini.Kwenye location za bata huwa nakuaminia sana.
Ningekuwa Dar siku hiyo ningekwenda.
Rip Dj Rico
Acha uzushi wewe jamaaMambo ya chini ya kapeti , ni kwamba matumizi ya powder kupita kiasi ndio chanzo cha kumpeleka jamaa kwenye permanent abode .
Ni tetesi tu sijazikomfirm.
RIP dj Rico ,
nakumbuka alikuwa anaturusha sana billz enzi hizo
RIP DJ Rico
Mkuu mchizi alikuwa anaondoka hayo madude banaAcha uzushi wewe jamaa