TANZIA: Mchezesha Muziki maarufu nchini DJ Rico, amefariki Dunia

TANZIA: Mchezesha Muziki maarufu nchini DJ Rico, amefariki Dunia

Too Sad ....mimi nimemfahamu 90s enzi za Bills akiwa sehemu ya kundi la madj waliojiita The Powerful 4 (nguvu 4) waliotikisa nchi kisawasawa akiwa na DJ JD, DJ HABIB na DJ G Lover ....alikuwa anajua kupiga aina nyingi za muziki kama House, R&B , Hiphop,oldies na hata Bolingo ....ni moja ya djs wanaojua kutumia mic na kuongea kiingereza fasaha ....amefanya kazi East Africa Radio kwa muda mrefu kabla hajaamua kudeal na issues zingine ....nilikuwa nakutana nae mara nyingi Triple 7 alipokuwa anapiga .....pumzika kwa amani brother ....
Unawafahamu kwelikweli maDJs. Hivi DJ Lover yupo wapi?
RIP Rico!!!
 
Mambo ya chini ya kapeti , ni kwamba matumizi ya powder kupita kiasi ndio chanzo cha kumpeleka jamaa kwenye permanent abode .
Ni tetesi tu sijazikomfirm.
RIP dj Rico ,
nakumbuka alikuwa anaturusha sana billz enzi hizo
 
alikuwa mzuri katika kazi yake(radio dj and club dj)
aliturusha sana
mods punguzeni picha za leprofeseri mkumbo kwenye kurasa zenu...
tabasamu lake linakera sababu kama feki flani
 
Mambo ya chini ya kapeti , ni kwamba matumizi ya powder kupita kiasi ndio chanzo cha kumpeleka jamaa kwenye permanent abode .
Ni tetesi tu sijazikomfirm.
RIP dj Rico ,
nakumbuka alikuwa anaturusha sana billz enzi hizo
Acha uzushi wewe jamaa
 
Back
Top Bottom