jana angekua anakabidhiwa Vogue........... sema ndio kifo hikooo
baba mchaga mama muhaya...hako katoto ni ka mtu ka wapi asee.???
Hahahahahahahahahaha nacheka kama mazuri vile ila warumi unaniacha hoi. Umezimia mara ngapi?
Jana nilivyopata taarifa nikazimia, nilipoenda kwake pia nikazimia, nilipomuona mke wake nikazimia, hasubuhi tena nikazimia, yani macho yamenivimba apa hatar
Mke wa seky mzuri sana, sijui alidanganyika nn na andunje lulu, huyu atakuwa mchawi tu
Hii kaweka diamond
ana jini bedui mahaba linaua wanaume
sure huyu aende kw GWAJIMA HUYUAnahitaji maombi ya nguvu
Hapa ni sawa na kuacha benz unafuata vitz[/QUOTE
Ipi Benz ipi Vitz
Mkuu mshana jr, sasa hili litakuwa jina mahaba au? maana vifo vya hapo hapo(instant deaths) mara nyingi ni vya ulimwengu wa giza, lakin pia huyu jamaa alikuwa ni supervisor katika mgodi wa Tanzanite one, ambako watu pia huwa na mambo yao mengi japo huwa wanakuwa mabilionea kama huyu, haiwezi kuwa ni ile game ya punje za kudonolewa na kuku ndo miaka yako ya kuishi? If u know what I mean? Tusije tukakaonea bure kabinti ka watu.
Ahsante, tumeumia sana, yani toka jana nazimia, marehemu alikuwa ananisomesha
jana angekua anakabidhiwa Vogue........... sema ndio kifo hikooo
duh tungekomaje mjini...!!!
so ndo itarudi kwa mkewe sasa
hapo ukute analilia vogue hyo bidada
Siku yake haikufika, kaifikisha Lulu. Ndio michezo yake hiyo.
hahahahaaaaaaa yaani wewe bi shiidaaa