Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia

Hahahaaa! Mimi nawasaidia wanawake wengine na kutoa tahadhari kwa yule niliyemkabidhi moyo.
Thou namkubali na kumuamini sana lakini hili jambo sio la kufumbia macho hasa mwanaume akiwa na visenti ndio mnatufanya tusilale kwa amani.

Ushauri muhimu bora upate hela utulie sio kukitombesha at the end of the day badala ya starehe na ku enjoy jasho lako unaangalia kabla ya siku zako. Kula life si lazima mtu kuwa mfuska wa kubadilisha wanawake to me wanaume ka Hao malimbukeni watakua wanaacha wajane kila siku.
 

Nakuunga mkono,wanaume mafuska na WAFE tu.
 
Nakuunga mkono,wanaume mafuska na WAFE tu.

Kabisa wakipata hela wanaanza kufanya mambo ya jambo na kijinga na kumsahau hata aliye wapa pumzi bora wafe tu kabisa kazi kutesa wake zao pambaAaf kabisa.
 
Lulu usipobadilika mengi yatakupata ndugu...umang'au hujauanza leo wala juzi. Yani ulianza kabla ya kutoa bikra. Mzuri wewe tajiri wewe ...haya shindana na dunia ila hutaiweza. Vizazi na Vizazi vimeishii ila dunia wameiacha.
Haya mie Napita zangu naelekea kwenye x-ray room hapa TMJ hospital.
 

hahaaaaa...!!
 

hahaaaaa...!!
sie tulio ndoani ndo tuko kwenye risk sana ya kufa na maradhi yote,kurogwa,kudharauliwa na watoto kutelekezwa pia
mtu anahangaika weee hujui karudi na maradhi gani
hasa sie waume kaskazini,wake kusini
bas ni kumuomba MUNGU na kumuachia yy atuhukumie
 
Kabisa wakipata hela wanaanza kufanya mambo ya jambo na kijinga na kumsahau hata aliye wapa pumzi bora wafe tu kabisa kazi kutesa wake zao pambaAaf kabisa.


mmnhhh umeolewa dada?
am sorry km ntakukwaza..
 
Kabisa wakipata hela wanaanza kufanya mambo ya jambo na kijinga na kumsahau hata aliye wapa pumzi bora wafe tu kabisa kazi kutesa wake zao pambaAaf kabisa.

Hahahaaa cariha mwanaume ataishi kwa jasho lake ukipata msaidizi shukuru tu mana kila cku upigwe wewe tu mechi c mpapa utaota sugu.cnc nakuoa style n mlio huohuo kma landrover mbovu,mwenzio wanamilio midogo kma vits mara bebi am coming bebi fuc...k harder mara pull my hair wakti amevaa wigi.acha mtoane roho 2 maisha yenyewe mafupi hya acha tule raha
 


short ane clear...!!

i like it...!!!
asiefunzwa na *****...!!
 


mmmhhhhh
hahahaaa
niote sugu kwa lipi..?!!
ujue mnajiendekeza mbona sie tunawavumilia tu!!
miaka kwa miaka nyie ndo hamuwezi...!!!
 

Kujiendekeza tu huko na uzinzi na ndo tatizo la wanaume wengi life is really short but it doesn't allow people to do evil things in the society just because life is short you can anything better that why life for men's are too short.
 
michepuko utaijua tu siku ya msiba! Huyu si ndio yule alinyanganywa marehemu na lulu
 
laiti wazee wa michepuko mngejaribu kutengeneza memo of understanding kuwa hata mkifa hakuna mchepuko kujitokeza baadae kama in reality jamaa hajawai kukutambulisha mapnzi yenu yabaki kuwa siri hadi siku ya ufufuo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…