Ha ha ha ha ha ha Hawa viumbe ni hatari especially when they have money.
mmmhhhhh
hahahaaa
niote sugu kwa lipi..?!!
ujue mnajiendekeza mbona sie tunawavumilia tu!!
miaka kwa miaka nyie ndo hamuwezi...!!!
View attachment 244284 michepuko utaijua tu siku ya msiba! Huyu si ndio yule alinyanganywa marehemu na lulu
Lulu usipobadilika mengi yatakupata ndugu...umang'au hujauanza leo wala juzi. Yani ulianza kabla ya kutoa bikra. Mzuri wewe tajiri wewe ...haya shindana na dunia ila hutaiweza. Vizazi na Vizazi vimeishii ila dunia wameiacha.
Haya mie Napita zangu naelekea kwenye x-ray room hapa TMJ hospital.
Acheni wa2 wale raha maisha yenyewe mafupi hya
Kujiendekeza tu huko na uzinzi na ndo tatizo la wanaume wengi life is really short but it doesn't allow people to do evil things in the society just because life is short you can anything better that why life for men's are too short.
hv hawanaga aibu hawa mbwa mwitu kweli jamani
hv mbona hawamtakii mema marehemu huko aendako kwa MUNGU wake!
View attachment 244284 michepuko utaijua tu siku ya msiba! Huyu si ndio yule alinyanganywa marehemu na lulu
Kujiendekeza tu huko na uzinzi na ndo tatizo la wanaume wengi life is really short but it doesn't allow people to do evil things in the society just because life is short you can anything better that why life for men's are too short.
ndo walivyo almost wotee..!!
wachache sana wanamaintain status zao wakipata hela
jinga sana huyu bata mzinga sijui wakoje hawaNdo shida ya kuchepuka na mipoyoyo!
Sasa huyu naye hatakama alikua ana share dudu la mme wa mtu kuna haja gani ya kujifanya umeguswa? Anamshirikisha mpaka Mungu pambaff kabisa huyu husna.
Watu wengine wanajitafutua laana tu.
Haya sasa mke katulia kazi vidampa kujianika.Pambaff zao kabisa😡😡😡
Mungu asimamie ndoa nyingi na wengi hupewa libwata hamna kipya wakipatacho Sana Maradhi kufanywa mazuzu hadi kifo matokeo yake kuacha Familia. Only God intervention will save marriages aisee.
Lyf iz 2 short acha wa2 wale raha ilimradi uwe umeshajijenga kimaisha
Maybe the way we feel utamu wa kurahatupika ni tofauti between men na women....
Ndio maana tunajiendekeza...lakini mbona utafiti unaonesha wanawake ndio wanaoongoza kutoa hiyo papuchi..
Don't talk until u step in the shoes of men...maybe you know nothing...
Kuhusu maisha kuwa mafupi nasikia mnatuwaga nyie...mfano kule moshi kwa wapalestina..ili mrithi mali
Maybe the way we feel utamu wa kurahatupika ni tofauti between men na women....
Ndio maana tunajiendekeza...lakini mbona utafiti unaonesha wanawake ndio wanaoongoza kutoa hiyo papuchi..
Don't talk until u step in the shoes of men...maybe you know nothing...
Kuhusu maisha kuwa mafupi nasikia mnatuwaga nyie...mfano kule moshi kwa wapalestina..ili mrithi mali
mmh sijui hawamuwazii mkewe duhhv hawanaga aibu hawa mbwa mwitu kweli jamanihv mbona hawamtakii mema marehemu huko aendako kwa MUNGU wake!
Huyu Mungu wetu ana kazi kweli....asikilize maombi ya wenye haki na sie tusio haki. Dah....
Yes life is to short but that doesn't allow people to do stupid things even if you have money like Bill Gates.