hivi mke wa Secky ni kabila gani?maana kwa uvumilivu huu nimemvulia kofiaHiyo picha itakua alipigwa bila kujua istoshe mbna ni hiyo moja 2.amerudi dar mwaka jana june wakti yuko huko alikua anaonekana jmos mara chache sana.wkend lazma alikua aende kuangalia familiy yke dar
hivi mke wa Secky ni kabila gani?maana kwa uvumilivu huu nimemvulia kofia
acha kabisa lazima lulu aliomba vogue au porsche ili awakimbize kina murano,sasa Mungu kamuumbua,hata picha za birthday hatujaona,hivi kweli inakuja lulu kufanya birtday ya mdogo wake siku aliyokufa kanumba?aisee ukizingAtia mpaka leo ni yeye peke yake ndo anaejuwa alichomfanya kanumba mpaka akafa.Mama Kanumba aliposikia kifo cha Secky lazima alichekea moyoniila MUNGU fundi sana
daah kamuumbua haswaa mchepuko siku ya bday raha sana
na yaweza kua usemayo ni kweli maana vogue ni mpunga mrefu ujue
hivi mke wa Secky ni kabila gani?maana kwa uvumilivu huu nimemvulia kofia
sasa kWa nini Secky alikuwa anamcheat namna ile?mpaka na kina masongange.msomi Engneer mzima anatoka na lulu,husna.Kweli kamuaibisha sana mke wake.mke wake anaekaa kwenye vikao na kina mkangala waziri wa habari.mme anamreduce to zero namna ile?Cjui kwa kweli ila mwanamke mwenye upeo nlikaa nao dom anaongea vi2 vya maendeleo sana namuombea amalizie hiyo hotel mana itakua hotel nzuri kwa dodoma
Nkwelae lekaga gete,inauma sana,hiki kifo na coincidence ya birthday ya lulu,kuna kitu hapa.inawezakana waligombana na mkewe baada ya mke kugunduwa kitu lulu atafanyiwa kwenye birthday.
ila ilikuaje?funguka mkuuHakua 'anavumilia'...
acha kabisa lazima lulu aliomba vogue au porsche ili awakimbize kina murano,sasa Mungu kamuumbua,hata picha za birthday hatujaona,hivi kweli inakuja lulu kufanya birtday ya mdogo wake siku aliyokufa kanumba?aisee ukizingAtia mpaka leo ni yeye peke yake ndo anaejuwa alichomfanya kanumba mpaka akafa.Mama Kanumba aliposikia kifo cha Secky lazima alichekea moyoni
sasa kWa nini Secky alikuwa anamcheat namna ile?mpaka na kina masongange.msomi Engneer mzima anatoka na lulu,husna.Kweli kamuaibisha sana mke wake.mke wake anaekaa kwenye vikao na kina mkangala waziri wa habari.mme anamreduce to zero namna ile?
ila ilikuaje?funguka mkuu
Sina cha kufunguka. Hisia zangu tu. Huyo mkewe alikua anatafuta fursa ampoteze huyo MBWA!!
Na kaipata haswaa. Kwa historia ya Lulu, angekua kichaa asingechukua hatua kustopisha aibu anayoletewa.
Istoshe, mali imeachwa kibao na mazagazaga benki ambayo 24/7 anasema si ya kitoto!
So hakukua na haja huyo mama avumilie hilo ling'ombe. Her silence (plus 'ulokole') has paid her volumes. Lulu ataendelea kutupiwa lawama until forensic ya hiyo 'ajali' ifanyike. Eti meza ya kioo.....
I beg to differ guys...........!!
Atailipia mke wa marehemusasa lulu si wanasema mjamzito, masikini ashakuwa mjane kwa mara ya pili, gundu hilo. atajibebaje sana na nyumba aliyompangia si ndio atafukuzwa?
Mkuu kuna kioo kilimtoboa shingoni kwa nyuma kwenye mshipa ndio blinding ikawa ...
Na hapo ndo penye utata. Naamini haikua ajali. Na si uchawi. Nahisi ni pre meditated ajali.... forensic na upelelezi wa kina vitaonyesha ukweli.......
mimi ndo maana niliuliza mke wake alikuwepo nyumbani?maana kumbuka ile siku ilikuwa birthday ya lulu,lazima itakuwa aligombana na mkewe,ngoja tusubiri zaidi,itajulikana tuNa hapo ndo penye utata. Naamini haikua ajali. Na si uchawi. Nahisi ni pre meditated ajali.... forensic na upelelezi wa kina vitaonyesha ukweli.......
Cjui kwakweli mana alikua hom n watoto n yeye ndio kapiga cmu kwa uncle wke aje amchukue kumpeleka hosp mana anakaa karibu tu
mimi ndo maana niliuliza mke wake alikuwepo nyumbani?maana kumbuka ile siku ilikuwa birthday ya lulu,lazima itakuwa aligombana na mkewe,ngoja tusubiri zaidi,itajulikana tu
Huu msiba unatia simanzi sana marehemu kaumia sehemu ndogo sana ila madaktari wameshindwa fanya chochote cz hatuna vifaa vya kisasa hosp zetu,so sad amekufa huku anajiona mana ameongezewa damu mara 2 ila haikusaidia kitu
Na hapo ndo penye utata. Naamini haikua ajali. Na si uchawi. Nahisi ni pre meditated ajali.... forensic na upelelezi wa kina vitaonyesha ukweli.......